Asilimia 100 yao hutumia dawaWengine kidogo tu kazi imeisha, wengine ni hadi kunakucha[emoji1787][emoji1787] ila mkuu kuna binadamu wana nguvu aisee, usiku kucha dude linahemewa tu[emoji1787][emoji1787]
Nakuunga mkono, watu wamekuwa wasimbe hadi usugu umeota, ukijifanya mjuani unaumia wewe.
Tafta Mchepuko Kama mamaJ
Utakuja nishukuru Sana baadae[emoji4]
Raha najipa mwenyewe, anayekwambia uchelewe kojoa nani?, Wahi ili tulale kesho tukatafute helaKwanin ukojoe haraka
Basi kojoa Halaf endelea [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu tukienda bao mbili unapelekw hospital na unapewa kitanda ujaziwe maji na damu[emoji38] msitutenge
Mi nitafanya ninavyojisikia, nikikojoa imetoka hiyo mambo ya kusumbuana dakika nyingi za kazi gani.Fanyen mazoezi bana ili show siku moja moja iwe kaliii famasiala nin
Raha najipa mwenyewe, anayekwambia uchelewe kojoa nani?, Wahi ili tulale kesho tukatafute hela
Mtunuku mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lakin humu kila mtu hujisifia anaweza
Yaani miaka yote ndio hivyo hivyo
kuwa na wanawake wengi wala sio sababu ya sie kupiga goli dakika 2 chali.[emoji23][emoji23][emoji23] Ndio muwe na mwanamke mmoja nguvu hakuna Halaf mnakuwa na wanawake kibao mnajitanganza ubaya tu
Ila mkuu bao moja chali ata wewe linakukosesha amni , nilisha zingua siku moja mkuu nikakosa ujasiri wa kutokea demu kabsa , ashukuriwe kimbaumbau mmoja nilipga alikuwa ananisifia hatari nikakaza ata kama alidanganya ila alinisaidia kurejesha makali mkuu , wanawake wananafasi kubwa sna kisaikolojia kukurudisha makali mkuu .yetu ya lunyimwa mbususu na wake zetu mnachukulia poa tuu
Hivi hizo dk 2-3 hivi kweli unaridhika na unainjoi?Nazungumzia wale ambao tunapiga kabao ketu ndani ya dakika 2-3 na baada ya hapo huo usingizi unaokuja si wa nchi hi
Mi nitafanya ninavyojisikia, nikikojoa imetoka hiyo mambo ya kusumbuana dakika nyingi za kazi gani.
Kitu dakika 3 nishamaliza nanawa nalala, hutaki utajiju
Mazezi mazuri Ni kufanyanaAhahah dah mazoezi sio kula karanga tena na korosho au? [emoji849]
Hahahah kwa huo uzoefu yaonesha hata we mbovuZamani baba we unadhan mi bikra
Anagongewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti
Sio uoga twataka tukafanye kazi zingineee[emoji23][emoji23][emoji23] achen uoga