[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38], sishangai...Shule zina mengi hapo kuna masomo + chakula + stress za kujitakia na mengine mengi...Mwenyewe anadai alikuwa ni miongoni mwa wapiga chabo kwa gals huko miambani, hapo lazima mwili ukumbane na purukshani zisizo lazima[emoji38][emoji38][emoji38]Kwa mwili wako bro umepata kitambi!!! Kweli yalikuwa maisha magumu tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ha ha ha haAsigwa unakumbuka ulipigwa na yule jamaa pale mbele ya makongoro domitory dakik za mwisho kabla ya kumalza form four[emoji23][emoji23][emoji23]
Tambaza waliokuja kusoma Advance au??Mie nakumbuka wale tambaza 1 2 na 3
He he he he he[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38], sishangai...Shule zina mengi hapo kuna masomo + chakula + stress za kujitakia na mengine mengi...Mwenyewe anadai alikuwa ni miongoni mwa wapiga chabo kwa gals huko miambani, hapo lazima mwili ukumbane na purukshani zisizo lazima[emoji38][emoji38][emoji38]
Inasikitisha sana aisee.Alifariki 2010 nikiwa form 4 ht jeneza nililibeba
Kawa wa nidhamu.Baunsa alitoka miezi sita badae, nimemaliza 2010 na alitoka akarudi pale pale na mwaka 2013 nilienda nkakuta ndo kafanywa mwalimu wa nidhamu
Hahahahahaha!He he he he he
Kitambi hakikuja baada ya mambo kuwa mazuri.
Ila niliwekeza juhudu binafsi kukitafuta aiseee.
Nilikuja kugundua kuwa japo nina hela ila kwa kuwa sina kitambi nilikuwa siheshimiki.
Ikabidi nikitafute.
Nasisitiza, nimepata kitambi kwa juhudi binafsi.
teh teh teh
Ha ha ha haKwa mwili wako bro umepata kitambi!!! Kweli yalikuwa maisha magumu tu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
He he he heHahahahahaha!
Hivi kuna dawa za asili za kuongeza vitambi?? Au mwenzetu ulitumia nini?
DahYeah nilisikia mwaya, apumzike kwa amani
Heaven sent yeye ilikuwa utawala wa Mama Ntagaye...Mama Nenze alikuwa keshahamishiwa Msalato.Dah
Na wewe kumbe mtoto wa Mama Nenze??
Sikujua ati.
Hahahahahaha! Kula + kunywaHe he he he
Neno juhudi binafsi ni neno pana sana aiseee.
OkyHeaven sent yeye ilikuwa utawala wa Mama Ntagaye...Mama Nenze alikuwa keshahamishiwa Msalato.
Hahahahahaha!
Hivi kuna dawa za asili za kuongeza vitambi?? Au mwenzetu ulitumia nini?
Halafu ulipotea ghafla baada tu ya weekend kuanza, inayeya nawe ndo unarudi[emoji38][emoji38]
OkyMe wa mama Ntagaye lol
He he he heHahahahahaha! Kula + kunywa
Hapana kabisa, wala sikuwa kiongozi.Oky
Hivi wewe hukuwaga yule Kiranja wenu wa Misosi kweli wewe??
Au ulikuwaga Sosholida??
Hivyo ulikuwa PONO?He he he he
Kitambi kinaletwa na kulala usingizi wa kutosha tu.
Hamna la ziada.