Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

Hahahahahaha ila Patra31
Mmmmmh [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkubalie ombi lake,

Kisha mvue nguo zote abaki uchi Kama alivyozaliwa

Kisha,
Kaa chini, sikitika Sana, toa chozi JICHO Moja na piga moyo konde.

Kisha gafla,
vaa nguo zako ondoka apo haraka Sana.

BAADA YA HAPO LETE MREJESHO
dah mzee utakuwa una roho mbaya sana
 
Acha uzembe mkuu fanya maajabu
 
Fuata kilichokupeleka chuo, na nature ya mwanamke atataka huduma ambazo zina gharama, na wewe huenda una mkopo au wazazi wanajibana ili wewe usome, ukitumia hio pesa kwa kuhonga itakua kama laana, wekeza kwako binafsi utafaidika sana miaka michache inayokuja. huyu bint mwambie unampenda sana ila sio biashara ya ngono
 
Ahsante sana!
 
Ila sio kila mwanamke mzuri anataka gharama kubwa kaka! Hapo hapana siwezi kukupata.
 
Mtie mimba
 
Mpe mimbaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…