Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

Wale wadada 'wanaojisikia' sana vyuoni

[emoji28]
Mkakisi mwenyewe[emoji116][emoji116][emoji28][emoji28][emoji28]
IMG_20210429_003553_626.jpg
 
Jibu kulingana na sifa yako ya ukaksi na mavazi unayopenda kuvaa.
  • suruali za vitambaa zenye marinda :- "ASANTE MUNGU AKUBARIKI"
  • suruali za vitambaa zakubana bila malinda: "ASANTE"
  • suruali za kadeti "ASANTE ATA MM PIA NAKUPENDA" alafu unampotezea
  • jinsi na shati la kubana bana "SAWA NA SHUKURU KWA UPENDO WAKO"
  • Jinsi na shati kubwa "POA POA MAMA LA MAMA" alafu unampotezea
Hahahahahaha ila Patra31
Mmmmmh [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkubalie ombi lake,

Kisha mvue nguo zote abaki uchi Kama alivyozaliwa

Kisha,
Kaa chini, sikitika Sana, toa chozi JICHO Moja na piga moyo konde.

Kisha gafla,
vaa nguo zako ondoka apo haraka Sana.

BAADA YA HAPO LETE MREJESHO
dah mzee utakuwa una roho mbaya sana
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu
Acha uzembe mkuu fanya maajabu
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu
Fuata kilichokupeleka chuo, na nature ya mwanamke atataka huduma ambazo zina gharama, na wewe huenda una mkopo au wazazi wanajibana ili wewe usome, ukitumia hio pesa kwa kuhonga itakua kama laana, wekeza kwako binafsi utafaidika sana miaka michache inayokuja. huyu bint mwambie unampenda sana ila sio biashara ya ngono
 
Fuata kilichokupeleka chuo, na nature ya mwanamke atataka huduma ambazo zina gharama, na wewe huenda una mkopo au wazazi wanajibana ili wewe usome, ukitumia hio pesa kwa kuhonga itakua kama laana, wekeza kwako binafsi utafaidika sana miaka michache inayokuja. huyu bint mwambie unampenda sana ila sio biashara ya ngono
Ahsante sana!
 
Fuata kilichokupeleka chuo, na nature ya mwanamke atataka huduma ambazo zina gharama, na wewe huenda una mkopo au wazazi wanajibana ili wewe usome, ukitumia hio pesa kwa kuhonga itakua kama laana, wekeza kwako binafsi utafaidika sana miaka michache inayokuja. huyu bint mwambie unampenda sana ila sio biashara ya ngono
Ila sio kila mwanamke mzuri anataka gharama kubwa kaka! Hapo hapana siwezi kukupata.
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu
Mtie mimba
 
Habarini.

Nipo chuo mwaka wa 2, kuna msichana mmoja anapenda sana kusifiwa na wavulana, na kujiona yeye ni bora zaidi. Kuringa kwa sana, majibu na kauli mbovu, dharau, majivuno na kiburi hata kwa waliomzidi umri.

Sasa mimi ni 'mkaksi', nafikiri mnaelewa nikisema hivyo, sasa ameniletea shobo yaani ameniambia ananipenda. Sipendi wasichana wa namna hii nafikiria nimpe jibu gani konki ambalo hatokaa anisahau.

Kama nakosea mniambie.

Ni kwa nia njema tu
Mpe mimbaa
 
Back
Top Bottom