Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

Da Vinci XV

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2019
Posts
3,862
Reaction score
6,438
Wasaalaam

Screenshot_20210712-101733.png


Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu mbili hizi Uislam na Ukristo.

Maelezo Juu ya Bwana huyu Katika pande hizo mbili yana kiwango chake yanachofanana na mambo mengine kadhaa wa kadhaa hayashabihiani.

Katika Uislam pia Yesu anatambulika kama Mtume wa Mwenyezimungu ambaye alipewa , neno kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa Waja wa huyo M/Mungu.

Tunajifunza juu ya bwana huyu kwenye Biblia,Qur'an kwenye Sayansi na Hata katika Historia juu ya Bwana huyu ambaye alipewa Ishara ambazo hata Manabii na mitume wengine Hawakupata (kuponya wagonjwa, kufufua wafu N.K)

ikumbukwe si Biblia tu iaminiyo juu ya Miujiza ya Bwana Yesu

Qur'an
inadokeza pia,

2:87

Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Issa, mwana wa Mariamu, Ishara(miujiza) zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.


Lakini kuwa na miujiza kwa wajumbe wa Mwenyezimungu ni jambo la kawaida ili waumini wapate kuamini kupitia kwayo.

Mlengo wa nyuzi hii ulijikita kwa Huyu bwana Yesu ambae alikuwa na Miujiza mikubwa na ya kipekee, na Hapa swali linajikita kwenye Hili la kufufua wafu.

Ni dhahiri Bwana Yesu hakufufua mfu mmoja , bali ni wengi sana lakini kipo kisa maarufu cha Lazaro , ambacho Injili ya Yohanna pekee imekielezea hichi kisa kwa Upana kidogo. Nami nitapenda nikitumie kisa hicho.

Yohana 11:41

Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia.

42

Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

44

Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.

Hapo anaelezewa Lazaro alipotolewa katika Wafu na Bwana Yesu

SWALI KUU HAPA NI KWAMBA

NINI MREJESHO WALIOKUJA NAO WAFU WALIOFUFULIWA , HUKO WALIKOKUWA?

Ukiachana na mafunzo tuyapatayo juu ya Uwepo wa M/Mungu na Kupitia miujiza kama hiyo.

Haijaandikwa katika histori hiyo kama ilivyoandikwa na mwandishi wa injili hiyo.
Ni wazi kwa mwandishi ilikuwa kwamba ni muhimu katika Histori hii.??

Histori inatuonyesha kwamba Wayahudi wengi walikuwa na mawazo tofauti juu ya ufufuo huo, Injili hii Iliandikwa yapata miaka sabini baada ya kupaa kwa Bwana Yesu.

Ufufuo wa Lazaro ni moja ya kielelezo cha mfululizo wa taarifa za kitheolojia. Katika histori hii Lazaro ndiye pekee ambaye hakusema, chochote.

Martha na Mariamu nduguze na Lazaro walipata kusema, Wayahudi nao walipata kuongea na Pia Yesu ameongea kuhusu Ufufu huo.

Lakini Lazaro ndiye aliyekaa kimya.

KAMA TUJUAVYO BWANA HAKUMFUFUA LAZARO PEKEE BALI WENGI AMBAO WENGINE HATUKUWAJUA

je ni vipi Mrejesho wa wafu hawa ,Walipata kusema nini? huko walikokuwa nini kiliwapata?? walijitambua?? au hawakujitambua?? Maisha ya Hali ya UFU yalikuwa vipi?

NB: Nyuzi hii haiko kwa Ajili ya kuleta mgongano wowote wa kiimani

daVinci XV

 
Wasaalaam

View attachment 1850356

Katika dini hizi kuu (Abrahamic) hakuna pande yoyote inayokataa uwepo wa Mtoto wa Mariamu Yesu wa Nazareth , historia na hadithi za maisha za Yesu/Issa zipo katika upande wa Dini kuu mbili hizi Uislam na Ukristo.

Maelezo Juu ya Bwana huyu Katika pande hizo mbili yana kiwango chake yanachofanana na mambo mengine kadhaa wa kadhaa hayashabihiani.

Katika Uislam pia Yesu anatambulika kama Mtume wa Mwenyezimungu ambaye alipewa , neno kwa ajili ya kufikisha ujumbe kwa Waja wa huyo M/Mungu.

Tunajifunza juu ya bwana huyu kwenye Biblia,Qur'an kwenye Sayansi na Hata katika Historia juu ya Bwana huyu ambaye alipewa Ishara ambazo hata Manabii na mitume wengine Hawakupata (kuponya wagonjwa, kufufua wafu N.K)

ikumbukwe si Biblia tu iaminiyo juu ya Miujiza ya Bwana Yesu

Qur'an
inadokeza pia,

2:87

Na hakika tulimpa Musa Kitabu na tukafuatisha baada yake Mitume wengine. Na tukampa Issa, mwana wa Mariamu, Ishara(miujiza) zilizo waziwazi, na tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu. Basi kila walipo kufikieni Mitume kwa yale ambayo hayapendwi na nafsi zenu, mlijivuna; wengine mkawakanusha, na wengine mkawauwa.


Lakini kuwa na miujiza kwa wajumbe wa Mwenyezimungu ni jambo la kawaida ili waumini wapate kuamini kupitia kwayo.

Mlengo wa nyuzi hii ulijikita kwa Huyu bwana Yesu ambae alikuwa na Miujiza mikubwa na ya kipekee, na Hapa swali linajikita kwenye Hili la kufufua wafu.

Ni dhahiri Bwana Yesu hakufufua mfu mmoja , bali ni wengi sana lakini kipo kisa maarufu cha Lazaro , ambacho Injili ya Yohanna pekee imekielezea hichi kisa kwa Upana kidogo. Nami nitapenda nikitumie kisa hicho.

Yohana 11:41

Basi wakaliondoa lile jiwe. Yesu akainua macho yake juu, akasema, Baba, nakushukuru kwa kuwa umenisikia
.

42

Nami nalijua ya kuwa wewe wanisikia sikuzote; lakini kwa ajili ya mkutano huu wanaohudhuria nalisema haya, ili wapate kusadiki kwamba ndiwe uliyenituma.

43

Naye akiisha kusema hayo, akalia kwa sauti kuu, Lazaro, njoo huku nje.

44

Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa sanda miguuni na mikononi, na uso wake amefungwa leso. Naye Yesu akawaambia, Mfungueni, mkamwache aende zake.

Hapo anaelezewa Lazaro alipotolewa katika Wafu na Bwana Yesu

SWALI KUU HAPA NI KWAMBA

NINI MREJESHO WALIOKUJA NAO WAFU WALIOFUFULIWA , HUKO WALIKOKUWA?

Ukiachana na mafunzo tuyapatayo juu ya Uwepo wa M/Mungu na Kupitia miujiza kama hiyo.

Haijaandikwa katika histori hiyo kama ilivyoandikwa na mwandishi wa injili hiyo.
Ni wazi kwa mwandishi ilikuwa kwamba ni muhimu katika Histori hii.??

Histori inatuonyesha kwamba Wayahudi wengi walikuwa na mawazo tofauti juu ya ufufuo huo, Injili hii Iliandikwa yapata miaka sabini baada ya kupaa kwa Bwana Yesu.

Ufufuo wa Lazaro ni moja ya kielelezo cha mfululizo wa taarifa za kitheolojia. Katika histori hii Lazaro ndiye pekee ambaye hakusema, chochote.

Martha na Mariamu nduguze na Lazaro walipata kusema, Wayahudi nao walipata kuongea na Pia Yesu ameongea kuhusu Ufufu huo.

Lakini Lazaro ndiye aliyekaa kimya.

KAMA TUJUAVYO BWANA HAKUMFUFUA LAZARO PEKEE BALI WENGI AMBAO WENGINE HATUKUWAJUA

je ni vipi Mrejesho wa wafu hawa ,Walipata kusema nini? huko walikokuwa nini kiliwapata?? walijitambua?? au hawakujitambua?? Maisha ya Hali ya UFU yalikuwa vipi?

NB: Nyuzi hii haiko kwa Ajili ya kuleta mgongano wowote wa kiimani

daVinci XV

Tukiangalia vizuri maandiko matakatifu yanatuambia kuwa "wafu wamelala usingizi Wala hawasikii" zaburi 146:4 na pia mhubiri 9:5-10


Pia rejea kusoma hiyo sura ya yohana utaona kuwa Lazarus baada ya kufufuka alijua tu alitoka kulala.
Hivyo usahihi wake ni kuwa maiti hajitambii
 
JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...
FB_IMG_16255568845884660.jpg
 
JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...View attachment 1852272
Wewe kwa upande wako unaamini uliyohadithiwa na wanahistoria , lakini unawazuia wenzako kuamini waliyohadithiwa na dini zao. Hayo mamlaka ya kuwachagulia wenzio cha kuamini wakati wao wamekuacha uamini upuuzi wako KWAMBA Binadamu ni maboresho ya jamii ya Nyani umepewa na Nani? Wao wamekuacha uamini KWAMBA Siku hizi Nyani hawabadili tena kuwa binadamu na hakuna sababu rasmi kwa nini Nyani wa zamani walibadilika na wa sasa wameshindikana. Usiwachagulie watu cha kuamini wakati wewe mwenyewe unachoamini ni upuuzi mtupu.
 
JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...View attachment 1852272
Ni wapi umeona au kusoma kua huyo Jesus alikua mweupe?.Na hiyo historia yako ya miaka 7000 uliisoma wapi maana inaonekana taarifa yako niyakuunga unga zaidi kuliko ata hizo za yesu.
 
JESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita,,sasa bas mwaka huo wa300 jumuiya za awa mabwana wakaitana ktk mkutano wa nincea uku lengo likiwa ni kubadir jina la ZEUS AMA ZEZUS na kulificha kwa kubadr heruf ya mwanzo ya Z' na kuweka J' ili kumfanya zeus aendelee kuabudiwa ndipo wakaleta JESUS..huyu ndie wakristo wavivu wa kusoma wanadai ndye yule mwan wa Mungu,,sikatai mwana wa Mungu nikwel aliwahi kujaa zamaani sana hata kabla ya uyo zeus wenu kuwepo, na huyu christo wa kwel alikuwa mtu mweusi toka Afrika na huyu anayo historia kuanzia ktk vtabu mpka nakala za biblia ya kwel ambayo haija editiwa na awo wajinga....muulizen papa wenu kwann walitoa baaz ya vitabu ktk biblia?? kwann biblia inakataza kuongeza ama kupunguza neno lolote lakn wao wanafanya hivyo??? [emoji23]
....ukwel mchungu jina la yesu ama jesus haliwez kukupa ufalme wa Mbingu maana ni pepo[emoji58] ambalo ukilitii kwa kuamn lazma utapona tena linanguv hata yakuondoa mapepo wenzake,.ili kuwa badaa wafuasi wake...
...I'M NOT BELIEVING JESUS,WHATEVER IS YESU IN SWAHIL OR ZEUS BY ORIGINAL NAME I DON'T CARE BCOZ HE NEVER EVER EXISTED....jesus is the most terrorist in the world
....SASA unatakiwa ujue kuwa kuna vifo aina 2 yaani kifo feki na original, kifo feki ni kupoteza nafsi mwilin kabla ya kufikisha umri sahh uliopangiwa na Muumba na kifo original ni kile ambacho mtu hufa yaan nafs na roho hutoweka mwilin baada ya umr sahh na kutimiza mission uliyoitiwa hapa dunian, so mtu akifa kifo OG hawez fufuliwa hata ukeshe unaomba,lkn kifo feki, mtu anaweza ,fufuliwa kama mwil wake haujaaribika, maana nafsi yake inakuwa bado iko duniana ikitanga tanga ama kama aliuwawa kichaw na kupelekwa usukulen anaweza rudishwa nafsi yake ktk mwl kuptia njia mbalimbali, na ujue kuw hakuna jehanamu wala pepo, mtu anapokufa anakuwa katoweka ktk limwengu zote,nikimaanisha limwengu ya mwl,nafs,na roho, na kupelekwa mahala ambako atakuwa mkiwa mpka sku ya hukumu, hiyo jehanam na pepo ni fake imagination zilizotungwa na shetan kuulaghai ulimwengu, na mara nying hutumiwa kw wale wanaosema walikufa na kufufuka sjui walikwenda mbingun na kuzim na kuuona moto mkubwa,jua kuwa ule moto na mbingu, ni fake ambayo imeundwa na shetan mwenyew kuwadanganya wanadamu, mpk sasa hakuna alie moton wala alie mbingun, acheni stor zakipuuz, anaejiona mjuaj wa maandiko aje anipinge tutapingana kwa maandiko na ushahidi tu...View attachment 1852272
Unatumia hasira sana kuandika pumba zako
 
Kazi ya ya Bwana Yesu haikuwa kuwahoji wale aliwafufua bali kuonyesha UWEZO WA MUNGU juu ya viumbe na maumbile aliyoumba.

Swali hili lingefaa lielekezwe kwa walikuwapo kama Masadukayo, Mafarisayo na Wengine waliokuwapo.

Kwa sasa tusubilie amri kiama au atakapokuja imam Mahadi naam atakapokuja Yesu ktk Utukufu wake.
 
Back
Top Bottom