Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

Wale waliofufuliwa walipata kusema nini huko walikokuwa?

ESUS IS FAKE, ALSO HIS MIRACLE WAS FAKE TOO,COZ HE NEVER EXISTED IN REALLY HISTORY
Yaa ni kwl ukiwa na akil lazma uhojii huyo wanayemuita yesu alikuwa wapi?? kwann awe mweupe wakat hlo eneo la palestina ya leo lilikaliwa na mtu mweus kwa zaid ya miaka7000 kabla hata mzungu na mwarabu hajajua kujichamba wala kuvaa chupi,,huyo wanaemuita yesu ama jesus hana historia yoyote hapa dunian.tafuta kitabu chochote cha kihistoria hutoona ushahid wa kuwako mtu mweupe aliyesurubiwa hapo palestina a.k.a israel feki,,bal miaka ya 300 hiv AD naposema AD maana yake nikwa mujibu wa warumu karenda iliyoanza kuhesabiwa kuanzia kutengenezwa kwa kristo fek yesu miaka ya 2000 iliyopita
Acha bange ndugu, uchizi tayari umeshakufika!
 
Mjadala mzuri huu. Tuanze na waliofufuliwa na Yesu. Mbona alisisitiza watu wasijue. Lakini kwa Lazaro ilikuwa hadharani.
 
Back
Top Bottom