[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]huo ndo U Getleman sasa, haijawah nitokea ila kdg tu itokee pale msavu, demu wakat anasagula mzee manguo yanatoa vumbi na alikua amevaa lichupi kubwa halaf jeusi tiii, yaan kaniki si kaniki pazia si pazia, nilipga chafya kama 11 hv bila kupumzika, Nilichomoka usiku huohuo nikaenda kulala na wapga debe, Yule nahc alikua mganga wa kienyej angenigeuza kuku yule mdada asee
Kwanini mkuuUtakuja uuliwe mkuu au uibiwe
Ili mtu aitwe rijali anapaswa aweje mkuu ??wewe sii rijali
Mkuu kuoga tumeoga ila si kila mtu na mda wake ana akingia anakomea toilet akitoka na toilo yake unaangaliaga kwa mbali tu then unapotezeaKwahiyo hata kuoga hamjaoga??
Aisee! Kumbe kuna mengi haujayasema, ebu tiririka hiyo hatua ya kupokezana kwenda kuiva.Mkuu kuoga tumeoga ila si kila mtu na mda wake ana akingia anakomea toilet akitoka na toilo yake unaangaliaga kwa mbali tu then unapotezea
Hakuna kitu mwanamke anajisikia VIBAYA KAMA ULALE NAE HALAFU umpuuze,,,anajiuliza maswali mengi yasiyo na majibu...tena mnalala kwa Mara ya kwnz...
Ahahah moja ya sifa za uanaume ni kutokubali hisia zikuendesheAuanaume au ufala huu?
Adam na Eva walikuwepo wawili tuu bustanini unajua kilichotokea?Ili mtu aitwe rijali anapaswa aweje mkuu ??
Hii ndio comment ya maana zaidi tangu nianze kusoma comment za watu kwenye uzi huu.Utakuja uuliwe mkuu au uibiwe
ShukraniHii ndio comment ya maana zaidi tangu nianze kusoma comment za watu kwenye uzi huu.
Ni kweli kabisa mkuu,kuna mengi hajayasema afungukeAisee! Kumbe kuna mengi haujayasema, ebu tiririka hiyo hatua ya kupokezana kwenda kuiva.