Wale Wanasimba SC na wana Yanga SC mliokuwa 'mkinishambulia' JF nilipokuwa 'nikimsifia' Kibu Denis kuwa ni Hazina Kubwa mpo wapi leo?

Wale Wanasimba SC na wana Yanga SC mliokuwa 'mkinishambulia' JF nilipokuwa 'nikimsifia' Kibu Denis kuwa ni Hazina Kubwa mpo wapi leo?

Kibu hakuna kitu,Kibu ni Ditram Nchimbi mwenye rasta..tena afadhali ya Ditram ana kasi na nguvu zaidi kuliko kibu.

Magoli aliyofunga ni kwa vile Shikaro amekuwa pazia angekuwa Kaseja langoni pamoja na uzee wake asingefungwa magoli ya hovyo namna ile.

Goli ambalo Shikaro huwezi kumlaumu kwa uzembe wa mabeki ni lile LA kichwa cha Onyango tu ila mengine ni yake binafsi.so huwezi kumpa kibu sifa nyiingi asizokuwa nazo.

Mchezaji ambae anahitaji muda pale Simba ni Peter Banda basi.yule pekee ndie namuona akivaa Viatu vya Miqueson.anafundishika,umri wake unaruhusu,ananyumbulika,ana kipaji halisi cha soka.

Simba wanatakiwa wampe muda azoee mazingira,awe huru asicheze kwa presha ya kutafuta matokeo or ubingwa.ajione yuko nyumbani watukuja kumuuza Ulaya sio Al ahl tena.

Haya yote ni kama wakiendesha team ki professional sio mambo ya kugombana hadharani kocha mkuu na wasaidizi wake.
Daaah uto bana
 
Kibu hakuna kitu,Kibu ni Ditram Nchimbi mwenye rasta..tena afadhali ya Ditram ana kasi na nguvu zaidi kuliko kibu.

Magoli aliyofunga ni kwa vile Shikaro amekuwa pazia angekuwa Kaseja langoni pamoja na uzee wake asingefungwa magoli ya hovyo namna ile.

Goli ambalo Shikaro huwezi kumlaumu kwa uzembe wa mabeki ni lile LA kichwa cha Onyango tu ila mengine ni yake binafsi.so huwezi kumpa kibu sifa nyiingi asizokuwa nazo.

Mchezaji ambae anahitaji muda pale Simba ni Peter Banda basi.yule pekee ndie namuona akivaa Viatu vya Miqueson.anafundishika,umri wake unaruhusu,ananyumbulika,ana kipaji halisi cha soka.

Simba wanatakiwa wampe muda azoee mazingira,awe huru asicheze kwa presha ya kutafuta matokeo or ubingwa.ajione yuko nyumbani watukuja kumuuza Ulaya sio Al ahl tena.

Haya yote ni kama wakiendesha team ki professional sio mambo ya kugombana hadharani kocha mkuu na wasaidizi wake.
Mchambuzi uchwara😁😁
 
Huyu ni fwala wa kiwango cha sgr anajifanya mjuaji kumbe ni mbulula tu asiekuwa na mbele wala nyuma.
Nafurahi sana kila mara kukutana na Wapumbavu ( Fools ) kama Wewe ( wa mfano wako ) hapa JamiiForums.

Nakujibu kwa Kukuuliza hili Swali langu moja tu ambalo nakuomba 'Ulifowadi' pia kwa Majuha ( Idiots ) Wenzako na mnipe Majibu yenu.

Hivi ni kwanini 99.999% ya JamiiForums Members ambao MNANICHUKIA sana na mno Mimi GENTAMYCINE ndiyo mnaoongoza Kukimbilia Kufungua na Kusoma 'Threads' na mpaka 'posts' zangu 24/7 hapa JamiiForums?

Najua kinachowatesa, kinachowaumiza na kuwakera zaidi ni Kitendo cha Mwenyezi Mungu kuniumba GENTAMYCINE na 'Characters' zangu Kuu Nne ( 4 ) za....

1. Purely Talented
2. Charismatic Fella
3. Game Changer
4. Entertainer

Mungu kanibariki kile alichowanyima!!!
 
Nafurahi sana kila mara kukutana na Wapumbavu ( Fools ) kama Wewe ( wa mfano wako ) hapa JamiiForums.

Nakujibu kwa Kukuuliza hili Swali langu moja tu ambalo nakuomba 'Ulifowadi' pia kwa Majuha ( Idiots ) Wenzako na mnipe Majibu yenu.

Hivi ni kwanini 99.999% ya JamiiForums Members ambao MNANICHUKIA sana na mno Mimi GENTAMYCINE ndiyo mnaoongoza Kukimbilia Kufungua na Kusoma 'Threads' na mpaka 'posts' zangu 24/7 hapa JamiiForums?

Najua kinachowatesa, kinachowaumiza na kuwakera zaidi ni Kitendo cha Mwenyezi Mungu kuniumba GENTAMYCINE na 'Characters' zangu Kuu Nne ( 4 ) za....

1. Purely Talented
2. Charismatic Fella
3. Game Changer
4. Entertainer

Mungu kanibariki kile alichowanyima!!!
Akufatilie nani ww Mbwa,tuko humu kurelax kusoma na kuexchange ideas na watu tofauti tofauti,kwa hio niache kusoma kuchangia na kupost eti nianze kukufuatilia ww maskini ambae huna influence yeyote?ww kweli akili zako ziko matakoni.


Hoja yeyote ikiwa mezani nikiona kuna haja ya kuchangia nachangia either kwa kukosoa kusifia kuunga mkono or vyovyote vile bila kumuogopa yeyote wala kuhofia chochote.

Let me tell you something that you don't know,for you information humu ndani hakuna Mbwa,Kima,Kenge,wala Ndezi wa aina yeyote ambae ni threat kwangu kwa chochote ikiwemo ww Ibilisi mja laana.

Huna cha pekee chochote kile,huna usipesho wowote ule,huna ugenious wowote ule labda kinywa chako kimejaa kinyesi cha matusi dalili ambazo malezi yako hayajapimwa ktk mizani.

Kama una mawazo kuwa kuna MTU amejiunga humu ili kukufatilia ww utakuwa na matatizo ya akili aisee.na ukiona kuna watu wengi unakwaruzana nao ujue utakuwa na mtindio ubongo.

Yaani ni MTU unaeongoza na Ego,unajiona ni giants Fulani hivi hahahahaha Buddy enewei ngoja niishie hapa ila ww ni fwala kama mafwala wengine tu.

Nimemaliza
 
Huna Jicho la Mpira acha Kunipotezea muda.

GENTAMYCINE nikimpenda Mchezaji huwa nina uhakika nae kama ninavyompenda Jonas Mkude na Ousmane Sakho.

au kama nimpendavyo Beki Dickson Job na Khalid Aucho kutoka kwa Watani zangu ( zetu ) Yanga SC.

Kibu Denis ni Hazina Kubwa Simba SC.
Una mapenzi na watu wanaolingana na KINATA MC.


Ufupi sio kilema.
 
Akufatilie nani ww Mbwa,tuko humu kurelax kusoma na kuexchange ideas na watu tofauti tofauti,kwa hio niache kusoma kuchangia na kupost eti nianze kukufuatilia ww maskini ambae huna influence yeyote?ww kweli akili zako ziko matakoni.


Hoja yeyote ikiwa mezani nikiona kuna haja ya kuchangia nachangia either kwa kukosoa kusifia kuunga mkono or vyovyote vile bila kumuogopa yeyote wala kuhofia chochote.

Let me tell you something that you don't know,for you information humu ndani hakuna Mbwa,Kima,Kenge,wala Ndezi wa aina yeyote ambae ni threat kwangu kwa chochote ikiwemo ww Ibilisi mja laana.

Huna cha pekee chochote kile,huna usipesho wowote ule,huna ugenious wowote ule labda kinywa chako kimejaa kinyesi cha matusi dalili ambazo malezi yako hayajapimwa ktk mizani.

Kama una mawazo kuwa kuna MTU amejiunga humu ili kukufatilia ww utakuwa na matatizo ya akili aisee.na ukiona kuna watu wengi unakwaruzana nao ujue utakuwa na mtindio ubongo.

Yaani ni MTU unaeongoza na Ego,unajiona ni giants Fulani hivi hahahahaha Buddy enewei ngoja niishie hapa ila ww ni fwala kama mafwala wengine tu.

Nimemaliza
Bandiko lako lote refu na lililojaa Pumba tupu limeshathibitisha kwa wenye Akili Kubwa hadi zimetuzidi kuwa Wewe ni Psychopath Case hivyo fanya hima uwahi kati ya Lutindi Mental Hospital ( Tanga ) au Mirembe Mental Hospital ( Dodoma ) kwa Matibabu ya haraka ili utupunguzie Wendawazimu hapa Jamvini wanaoongozwa na Wewe 'Tula Tula' sawa?
 
Kudadadeki GENTAMYCINE sijawahi Kumpenda na Kumsifia Mchezaji Mbovu au Mchezaji ambaye hafanyi kile nilichomsifu nacho. Nikisema au Nikichambua huwa nakuwa nina uhakika kwani hata huo Mpira wenyewe naujua na isitoshe nimeucheza vile vile tena katika Ngazi zote Muhimu za awali Mashuleni, Mtaani, Wilayani na Mkoa pia enzi zangu ( zetu ) hizo.

Ni hapa hapa JamiiForums juzi katika moja ya Posts zangu Kumhusu Mchezaji Ousmane Papi Sakho na hata katika Uzi wangu mwingine Miezi kadhaa nilimsifia na Kumuelezea kwa Jicho la mbali, la Kiufundi na Kiubora Mchezaji Kibu Denis ila nikaambulia dhihaka na mpaka na Matusi vile vile.

Kauli yangu juu ya Mchezaji Kibu Denis kamwe haijawahi kubadilika na mara kwa mara nimekuwa nikisema kuwa huyu Mchezaji akijitambua, akkubali Kukosolewa, Kurekebishwa na kuongezewa Vitu vichache tu na Kocha Fundi na Mtaalam Pablo Franco basi hatokuwa tu ni Hazina Kubwa kwa Simba SC bali hata kwa Timu ya Taifa kwani ana Vitu vingi vizuri vya Mshambuliaji wa sasa na kupitia Yeye namuona Mbwana Samatta mpya na natabiri mapema kuwa Simba SC itatajiirika sana miaka Miwili ijayo kwa Kumuuza baada ya kutakiwa na Vilabu vikubwa na vya maana Afrika.

Mliokuwa mkinidhaki na kunitusi kwa Mimi Kumsifia Mchezaji Kibu Denis endeleeni kufanya hivyo, ila kama kuna Zawadi ya Kipekee kabisa ambayo Mwenyezi Mungu amenibariki nayo ( Kiumbaji ) ni kuwa na Jicho la Hatari na la Uhakika la Kuona mbali, Kuchambua na Kutathimini Jambo au Tukio lenye Uzito Kijamii.

Aliyemleta Kibu Denis Simba SC Asante.
Kibu Denis ni mshambuliaji hatari kuliko hata Mayele
 
Back
Top Bottom