Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
Huyo mwarabuKwa KATARAMA vingunguti wenyewe wanamuomba Sana naskia jamaa yupo kwenye malori na nimeona scania na Mercedes Benz zikiwa na chata la KATARAMA hvyo huyu jamaa sio wa mchezo nafkiri Biashara ya bus huyu ataiweza Ila kwa upepo huu ukiendelea kuvuma mpaka shule zikifungwa nakwambia kabla ya December mwarabu na wadau kadhaa watakuwa washaingia vingunguti sio chini ya Mara 5
Ndola?
Ukielekea Lusaka?
Kutokea Kapiri?
Mbona hakuna uhusiano
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Sufuria la wapi hili
Hapa hapa zile ndo mashine za kazi kazi kwanza lazima ubebe , viazi vya kuchemsha na maziwa mgando maana kufika ni majaliwa njia ile.Wale waliowahi kusafiri na Kingcross Dodoma to Iringa kupitia mtera hivi wako wapi
Always unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupidNdola?
Ukielekea Lusaka?
Kutokea Kapiri?
Mbona hakuna uhusiano
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
Always unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupid
Jiko Arusha Mwanza.Sufuria la wapi hili
Shabiby basi pendwa kwangu
Yes mkuu all of us sometimes we make typing errors, ila unajua kuwa nini ulitaka kuandika na hii sio rocket science, comments za dot.com humu zimejaa kejeli mno, ndio maana hawawezi kuingia viwanja na wanalalama humu kuhusu viajira uchwara ,mimi angeniamkia kwa respect ni sawa ila kuweka emoji ya kucheka ,nimemwelewa maana yake, ni kejeli na hii kejeli ndio maana barabarani humu watanzania tunatupana maana tumejaa ushenzi, kaa mbali na mbongo hasa mkiwa nje ya nchi ni washenziKumbe wewe ulielewa vizuri kabisa
Imetulia sana mpaka huduma zakeShabiby basi pendwa kwangu
AiseeAlways unaposoma comments jitahidi usome to understood, hii ya Ndola ni typing error, mimi nilimwelewa ,alimaanisha pale kapiri mposhi kwenye ile fuel garage kwenye pacha ya kwenda Lusaka (left),na Ndola (right )ukitokea mkushi, ile hotel bado ipo ingawa kwa sasa imeboreshwa zaidi, nilikua nakuona upo very smart kumbe ni wale wale, upo stupid
Duh[emoji848]Yes mkuu all of us sometimes we make typing errors, ila unajua kuwa nini ulitaka kuandika na hii sio rocket science, comments za dot.com humu zimejaa kejeli mno, ndio maana hawawezi kuingia viwanja na wanalalama humu kuhusu viajira uchwara ,mimi angeniamkia kwa respect ni sawa ila kuweka emoji ya kucheka ,nimemwelewa maana yake, ni kejeli na hii kejeli ndio maana barabarani humu watanzania tunatupana maana tumejaa ushenzi, kaa mbali na mbongo hasa mkiwa nje ya nchi ni washenzi
Nazunguka nchi nzima kwa Basi na hivi ndio hua nafanya.
Dar to Mwanza nawaamini katarama
Dar to kigoma nawaamini Adventure
Dar to Tanga nawaamini Ratco
Dar to Moshi nawaamini kilimanjaro express
Dar to Morogoro nawaamini Abood
Dar to Dodoma nawaamini Shabiby
Dar to Songea nawaamini Superfeo au selou
Dar to Bukoba nawaamini Abood na Happination
Dar to Singida nawaamini ABC safari
Dar to Iringa nawaamini Alsaedy
Dar to Masasi nawaamini Ibra Line
Dar to Mtwara nawaamini Manning Nice
Dodoma To Bukoba nawaamini SATCO
Mwanza to Silari nawaamini Kisire au Zakaria
Mwanza To Bukoba nawaamini Isamilo
Dar to Katoro nawaamini Geita express au Takbiri
Dar to Kasulu nawaamini Takbiri
Dar to Kahama nawaamini Frester
Mwanza to Kahama nawaamini Frester
Kahama to musoma nawaamini kisire
Dar To Tabora nawaamini NBC
Dar to Newala nawaamini Ibra
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapi Jinjah boy, mzee wa kuwalaza watu njiani