Wale wapenda mabasi ya mikoani (wanazi) tukutane hapa

Chungwa dawa yenu ni katarama tu kila siku mnachapwa chuma mbili kwa 8 [emoji23] sasa subirini aongeze 3 ziwe nne mtatubu.
 
Chungwa dawa yenu ni katarama tu kila siku mnachapwa chuma mbili kwa 8 [emoji23] sasa subirini aongeze 3 ziwe nne mtatubu.
Ww nae tunachapwa wap leta mkeka wa jana
 
Lile gari sipandi kabisa mm tulisafiri toka dom had dsm siku nzima tangu saa 12 asubuhi yan kufika ihumwa tu limeharibika sina hamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndo waweke viti vya tata kwenye katarama??
 
Basi ya used malaysia ije ifukuzane na scania g7? Si rahisi sumry alinunua mpya malasysia na hapa hazikufua dafu.
Ile basi sya vingunguti sio ya kuichukulia poa , ndo maana ni ghali kwanza ni mpya, halafu imetimia na ina specs za lorry wakati inabeba watu 50 tu,
The only way allys anaweza kupambana na katarama ni kwenda vingunguti,
 
Kuna Ile AVA .. scania kizazi jeuri! Mwanza - Arusha.
Kiazi kitamu roli lile weka mbali na watoto.
Akifyatua gia 12 porini huko mtamsoma hiyo speed kusimama mpk atoe zote sijui sa ngapi.sijui kafia wapi
 
Bas gani la Arusha to mwanza jaman
Nna Safar ya huko hii week

NB lisiwe mkweche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…