Wale wapenzi wa Perfume/Body Spray, tukutane hapa

Brown Orchid kkoo 30k tu nna kama miezi miwili toka naitumia na sijui ntakuja kuiacha lini kuhusu spray ni axe excite na deodorant ni nivea protect buku 4 tu
 
Kwa yule wa Arusha, ajaribu kuuliza maduka ya vipodozi ukiwa unatoka FLORIDA uaelekea standi kuu, mkono wa kusho kuna bookshop na duka vipodozi , unawezaapata hapo. Pia jaribu pale USA RIVER jirani na HIGH WAY BAR, KUNA DUKA LIKO KWENYE KONA KABISA, HAPO UTAPATA AINA ZOTE. Ukikosa, nedha maduka yaliyo stendi ndogo ukiuliza upata, kikubwa uwe na jina la perfume unayaotaka kununua , na pengien imetengenezwa nchi gani. (UK, FRANCE, CHINA). Ni kama wine (zipo za TZ, AFRIKA KUSINI, FRANCE). Kwa hiyo, kuwa makini achan na wale wanaouza mitaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…