Wale watoto wa siku hizi haya mambo mnayasikia tu.

Wale watoto wa siku hizi haya mambo mnayasikia tu.

Hakuna anayejali

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
418
Reaction score
526
Zamani tulikuwa tunakula kwa pamoja,hii ilisaidia kuondoa tabia ya uchoyo,ilijenga uhusiano,na ilimwondolea uvivu wa kula mtoto.Lakini wazazi wengi sasa watoto wao wanakula Kila mmoja peke yake,kwakweli wanamic hayo niliyosema.tazama video hapa na picha.
 

Attachments

  • IMG_20230930_124340.jpg
    IMG_20230930_124340.jpg
    101.5 KB · Views: 1
Kula kwa pamoja wengine wanatia kinyaa wachafu, mtu anatafuna chakula chote kinaonekana km mbuzi [emoji2961][emoji2961]
...Ndio wakati wa kurekebishwa na familia!
Labda kama mlikuwa hamli pamoja Toka utotoni ! [emoji848]...
 
Tatizo siku hizi watu hawalimi, ata mchicha wanaenda kununua sokoni
 
Ishu sio kula pamoja. Unakula pamoja na nan? Kuna watu usafi ni sifuri.

1_ Mtu anatoka Chooni ananawa juu juu tu unamuona kabisa, alafu huyo anaanza kula na wewe hapo.

2_ Mwingine anakula alafu nyama ikibak ktk meno anatoa na mkono alafu anaendelea.

3_Mwingine hasa ktk hizi mboga zenye michuzi michuzi.. anakata tonge la ugali anaenda kuchovya ktk mboga mpk ugali unakatikia humo.

4_Mwingine anakomba mboga alafu analamba vidole.

5_Mwingine anakomba mboga inayobaki ktk vidole anafanya kama anakung'utia humo yaan kama mtu aliyekuwa ananawa mikono sasa anakausha maji.

6_Mwingine sasa mikono au vidole vina michuzi, huyu atakata ugali upande wake atakuja kukata ugali upande wako. Sasa unakuta ugali umepakwa pakwa michuzi tupu.

Kuna upumbavu mwingi katika kula pamoja.

mimi siafiki wala sikubaliani na huo utamaduni.

Ndio maana kipindupindu kikiingia ktk hizi jamii wanakufa kama Nzi.
 
Ishu sio kula pamoja. Unakula pamoja na nan? Kuna watu usafi ni sifuri.

1_ Mtu anatoka Chooni ananawa juu juu tu unamuona kabisa, alafu huyo anaanza kula na wewe hapo.

2_ Mwingine anakula alafu nyama ikibak ktk meno anatoa na mkono alafu anaendelea.

3_Mwingine hasa ktk hizi mboga zenye michuzi michuzi.. anakata tongea la ugali anaenda kuchovya ktk mboga mpk ugali unakatikia humo.

4_Mwingine anakomba mboga alafu analamba vidole.

5_Mwingine anakomba mboga inayobaki ktk vidole anafanya kama anakung'utia humo yaana kama mtu aliyekuwa ananawa mikono sasa anakusha maji.

6_Mwingine sasa mikono au vidole vina michuzi, huyu atakata ugali upande wake atakuja kukata ugali upande wako. Sasa unakuta ugali umepakw pakwe michuzi tupu.

Kuna upumbavu mwingi katika kula pamoja.

mimi siafiki wala sikubaliani na huo utamaduni.

Ndio maana kipindupindu kikiingia ktk hizi jamii wanakufa kama Nzi.
Kamalizie story bhana.
 
Heeeh!
Ishu sio kula pamoja. Unakula pamoja na nan? Kuna watu usafi ni sifuri.

1_ Mtu anatoka Chooni ananawa juu juu tu unamuona kabisa, alafu huyo anaanza kula na wewe hapo.

2_ Mwingine anakula alafu nyama ikibak ktk meno anatoa na mkono alafu anaendelea.

3_Mwingine hasa ktk hizi mboga zenye michuzi michuzi.. anakata tonge la ugali anaenda kuchovya ktk mboga mpk ugali unakatikia humo.

4_Mwingine anakomba mboga alafu analamba vidole.

5_Mwingine anakomba mboga inayobaki ktk vidole anafanya kama anakung'utia humo yaan kama mtu aliyekuwa ananawa mikono sasa anakausha maji.

6_Mwingine sasa mikono au vidole vina michuzi, huyu atakata ugali upande wake atakuja kukata ugali upande wako. Sasa unakuta ugali umepakwa pakwa michuzi tupu.

Kuna upumbavu mwingi katika kula pamoja.

mimi siafiki wala sikubaliani na huo utamaduni.

Ndio maana kipindupindu kikiingia ktk hizi jamii wanakufa kama Nzi.
Heeh!
 
Kula kwa pamoja wengine wanatia kinyaa wachafu, mtu anatafuna chakula chote kinaonekana km mbuzi 🤮🤮
Hapa ndipo kosa lilipo anzia kwa wazazi wenu kuto kuwafundisha tabia njema na nidhamu wakati wa kula.
Hicho unayo iona leo ni matokeo ya zazazi ama walezi wako kukufundishia hiyo mbuzi
 
Hapa ndipo kosa lilipo anzia kwa wazazi wenu kuto kuwafundisha tabia njema na nidhamu wakati wa kula.
Hicho unayo iona leo ni matokeo ya zazazi ama walezi wako kukufundishia hiyo mbuzi
Babu tulia emu kwanza. 🤣🤣🤣
Sasa mbuzi ni tusi?
 
Mtu mnakula nae pamoja alafu anapiga chafya karibu na chakula..

Mwingine anajikuna matako.
 
Back
Top Bottom