Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Mbona imekuuma sana mkuu? Ningesema nalipwa laki sita haya makasiriko yote yangekuwepo acha roho ya kichawiUnavyojigamba ni kama Bongo nzima wewe ndio wakwanza kulipwa hela hiyo...
Shule mnafungua lini?Mbona imekuuma sana mkuu? Ningesema nalipwa laki sita haya makasiriko yote yangekuwepo acha roho ya kichawi
Nyie ndio mnachekelea mkisikia watumishi wana maisha magumu bahati mbaya mimi kibongo bongo nakunja parefu 3.5mil si haba
Acha roho ya kichawiShule mnafungua lini?
We acha tu 🥲Sisi wenye Ma tunastresss balaaaaaaa
Huku mtaani wenye D mbili ndio wanakimbiza hatari.
Powa mkuu nakuachia wewe hiyo roho...Acha roho ya kichawi
Kwamba hawa watu huwa wana ligi kali ?Waliosoma na ambao hawajasoma kaeni mmalize vita zenu!
Kaka umeadimika sana humu jamvni..Tupo na maperdiem ya kutoshaa
Nipo vipi dodoma kiongoziKaka umeadimika sana humu jamvni..
Tupo njema kabisa, karibu sana katikati ya nchiNipo vipi dodoma kiongozi
Binafsi BSc yangu imenisaidia sana. Nimeajiliwa na kujiajili at the same time...! ALEKOMSALAAMUWana jamvi kwema,
Leo nimeona niwajulie hali hawa ndugu zetu wenye BSc na BA na degree nyinginezo, vipi maisha yanaendaje baada ya kuhudhurishwa na kutunukiwa Shahada yako.
Vipi mategemeo uliyo kuwa nayo, yame kuwa sawa na uhalisia huko duniani? Je, kati ya BSc na BA ipi imekusaidia angalau kwenye kujikwamua nje ya ajira, yaani kujiajiri au kutumia ujuzi wako ulio upata kutatua changamoto mbalimbali za maisha.
Asamaleko.
Hongera sana.Binafsi BSc yangu imenisaidia sana. Nimeajiliwa na kujiajili at the same time...! ALEKOMSALAAMU
Asante.Hongera sana.
Ni pesa nyingi kwako na watu wenye level ya ufikiri kama wako.Nihela nyingi kibongo bongo, na zaidi ya 80% ya watumishi wa uma hawapati huo mshahara, wengine mpaka wanafikisha miaka 30 ya utumishi Serikalini hawaugusi huo mshahara. kama kaupata na Yuko chini ya miaka 30 anaweza tengeneza vyanzo vya mapato nje ya huo mshahara akawa sio mwenzako.
Tena unasoma kwa bidii kweli kweli ukirudi mtaani mfumo unakuambia anza kujiajiri kwa kuuza maji barabarani n.kUnakwenda chuo kupata knowledge ili utumike na mfumo then mfumo unakukataa, lazima uwe mwehu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Haelewi kuwa kuna watu wana certificates au wengine ni darasa la saba wamejiajiri na wanapiga ela ndefu na huwasikii wakijigamba kama yeye.Ni pesa nyingi kwako na watu wenye level ya ufikiri kama wako.
Zaidi ya 80% ya watumishi hauwaupati huo mshahara.Ni pesa nyingi kwako na watu wenye level ya ufikiri kama wako.
Asante sana kakaTupo njema kabisa, karibu sana katikati ya nchi