Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Wale wenye BSc, BA na degree nyinginezo mnaendeleaje na hali? Matarajio yenu yametimia baada ya kutunukiwa degree hizo?

Wana jamvi kwema,

Leo nimeona niwajulie hali hawa ndugu zetu wenye BSc na BA na degree nyinginezo, vipi maisha yanaendaje baada ya kuhudhurishwa na kutunukiwa Shahada yako.

Vipi mategemeo uliyokuwa nayo, yame kuwa sawa na uhalisia huko duniani? Je, kati ya BSc na BA ipi imesaidia angalau kwenye kujikwamua nje ya ajira, yaani kujiajiri au kutumia ujuzi wako uliopata kutatua changamoto mbalimbali za maisha?

Asamaleko.


Sasa hizo negativity
 
Watu wengi ambao hawana degree huwa wana wasiwasi sana... kamwe msomi hawezi kuwa sawa na asiyesoma. Kwenye suala la hela msomi ana nafasi nyingi zaidi ya kupata kuliko mtu wa darasa la 7. Na wengi ambao hawana degree wana maisha magumu kulinganisha na wenye degree.
 
Back
Top Bottom