Wale wenye GPA kuanzia 2.1 mpaka 3.4 tukutane hapa tuyajenge hapa

Wale wenye GPA kuanzia 2.1 mpaka 3.4 tukutane hapa tuyajenge hapa

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5

Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathiri chochote mtaani?

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kitaa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawa😅😅😅😅😅

Ukienda kwenye makampuni unakuta wanaopaki magari kwenye maofisi ni watu wa hizi GPA za lower second. 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Vile mnajipa matumaini.

Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.

Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.

Halafu kuna zile gpa za saut au Tumaini university halafu kuna gpa za Udsm au Muhimbili.
 
Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5

Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathili chochote mtaani?

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kataa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawa😅😅😅😅😅
Usikute wenye GPA kubwa wamekuzidi mshahara na ufanisi
haina haja ya kujilinganisha nao kubali wamekuzidi
 
Kwa mtu asiyejua mambo ya vyuoni anaweza kumuogopa na kumhusudu mtu mwenye GPA kubwa na kumdharau mwenye GPA ndogo. Kuna sababu nyingi zinazosababisha mtu apate ufauru mkubwa zaidi ya kusoma sana.

1. Urafiki na mkufunzi. Hapa kama uko karibu sana na Lecturer anaweza kukwambia sehemu ya kusoma ili ufauru. Ndio maana wadada wengi hufanya vizuri sana vyuoni kuliko wanaume.

2. Ujanja ujanja wa mwanafunzi. Mfano kutumia nondo kwenye mtihani.

3.Kuchagua "Electives" rahisi hata km haziendani moja kwa moja na kozi yake.
 
Kwa mtu asiyejua mambo ya vyuoni anaweza kumuogopa na kumhusudu mtu mwenye GPA kubwa na kumdharau mwenye GPA ndogo. Kuna sababu nyingi zinazosababisha mtu apate ufauru mkubwa zaidi ya kusoma sana.
1. Urafiki na mkufunzi. Hapa km uko karibu sana na Lecturer anaweza kukwambia sehemu ya kusoma ili ufauru. Ndio maana wadada wengi hufanya vizuri sana vyuoni kuliko wanaume.
2. Ujanja ujanja wa mwanafunzi. Mfano kutumia nondo kwenye mtihani.
3.Kuchagua "Electives" rahisi hata km haziendani moja kwa moja na kozi yake.
Mbaazi akikosa maua husingizia jua
Wengi Wenye GPA kubwa performance zao kubwa hazijaanzia chuo huwa ziko juu toka secondary
 
Vile mnajipa mtumaini.

Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.

Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.

Halafu kuna zile gpa za saut au tumaini university halafu kuna gpa za udsm au muhimbili.
Serikalini kuna upuuzi mwingi sana. Unaweza usione kabsa tofauti ya form 4, certificate Diploma degree n.k. Serikalini hakuna kazi za kuumizwa kichwa hivyo mwenye kiherehere ndio huonekana mchapa kazi. Ukiwa umesoma sana na kuwa na ufaulu mzuri kuna muda unajiona "Useless" kabisa.
 
Dunia ya sasa inataka ubunifu na sio GPA.

Kwa Dunia ya sasa GPA kubwa utaishia kuwa mwalimu wa chuo kikuu tu.

Kazi za Serikali tu ndio hua zinahitaji GPA na hasa wa waalimu wa vyuo.

Nakumbuka zamani hata TRA na BOT walikuwa wanataka watu wenye GPA kubwa ila baadae naona waliachana na huo utaratibu.

Ukienda kwenye banks wengi wanaofanya kazi pale wana ufaulu wa kawaida ila angalia performance yao, wako mbali.

Kuwa na GPA kubwa ni jambo zuri pia.
 
Vile mnajipa mtumaini.

Vile Inferior people wanapenda kujilinganisha na waliowazidi ili kujipa matumaini.

Kufanya kazi na wenye gpa za 4 hakukuondolei uhalisia wa vile kilaza ulikuwa.

Halafu kuna zile gpa za saut au tumaini university halafu kuna gpa za udsm au muhimbili.

Kuhusu kuridhika au kudharau wenye gpa za juu tuko pamoja.

Hapo kwenye kudharau gpa za vyuo vingine natofautiana na wewe. Hakuna mahali mtu anapata kazi au kukosa kazi kutokana na chuo alichosoma.
 
Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5

Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathili chochote mtaani?

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kataa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawa😅😅😅😅😅
Hongera sana Meneja
 
Navyoona utapata taaabu sana maaishani mwako kwa mambo ya msingi yanayokuhusu kijiringanisha na watu wengine. Kwa hiyo kama hiyo kazi ni mbovu, mshahara mdogo, long work hours,... Wee unaendelea kukomaa kisa na mwenye GPA kubwa anafanya. So inamaana ata ikitokea opportunity ya kazi bora kuliko hio utaendelea kukomaa nayo kwa sababu unataka upate mahahara sawa na mtu aliyekuzidi GPA huko zamani. Aiseee mlolongo wa logic zako zinafanana na GPA yako.
 
Huu uzi ni kwaajili ya wale ambao GPA zetu zipo chini ya 3.5

Naomba tupeane mrejesho kama hizi GPA zetu zimetuathiri chochote mtaani?

Mimi binafsi GPA yangu ni 3.1 net, tangia nimeingia kitaa sijawahi kukosa kazi kwa kigezo cha GPA. Na kazini nafanya kazi na wenye GPA zao za 4.3 na tunapata mshahara sawa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ungetaja na kozi. Uzito wa GPA unaenda sambamba na kozi. Huwezi linganisha 3.5 ya HR na 3.0 ya engineering. Tuelewane hapo!
 
Navyoona utapata taaabu sana maaishani mwako kwa mambo ya msingi yanayokuhusu kijiringanisha na watu wengine. Kwa hiyo kama hiyo kazi ni mbovu, mshahara mdogo, long work hours,... Wee unaendelea kukomaa kisa na mwenye GPA kubwa anafanya. So inamaana ata ikitokea opportunity ya kazi bora kuliko hio utaendelea kukomaa nayo kwa sababu unataka upate mahahara sawa na mtu aliyekuzidi GPA huko zamani. Aiseee mlolongo wa logic zako zinafanana na GPA yako.
😅😅😅😅😅😅😅ilitakiwa mishahara iwe inapimwa kwa GPA
 
Back
Top Bottom