Wale wenye GPA kuanzia 2.1 mpaka 3.4 tukutane hapa tuyajenge hapa

Wale wenye GPA kuanzia 2.1 mpaka 3.4 tukutane hapa tuyajenge hapa

Kaza mdogo angu wengine tulilijua Hilo mwaka wa kwanza semister ya pili...Kupambania Gpa inabid uache mambo mengi na uji toe kusoma....wakat mwingine ni luckiness....
Note
Kuna watu Wana Gpa ndogo ila vichwan mwao Wana content la maana na Kuna watu Wana Gpa kubwa ila kwenye content wapo shallow in deep & VICE VERSA IZ TRUE
Shukrani sana mkuu kwa madini haya
 
Back
Top Bottom