Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Tatizo wanawake hamueleweki,
Wapo wanaosema No wakimaanisha Yes na wapo wanaosema No kweli,

Women are complicated creature
 
Mkuu nadiegirlie,
Siku nyingine kama huna nia ya kumfurahisha mwenzako, tena mpenzi mpya ambaye hajawahi kukugusa.. tafadhali usifanye mambo za sleepover. Unaweza kwenda mkapika, mkala, mkatizama movies na wewe jioni rudi ukalale kwako.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huenda kuna point mimi na wewe hatuelewani. Ila sleepover na new girlfriend ni suicidal, kwanza mnataka kugundua nini hadi mlale pamoja wakati hamna mpango wa kulana?
Kwani wewe Sleepover na new GF huwezi? Oooopssss!!!! Hujawahi?[emoji23](Soma taratibu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wewe Sleepover na new GF huwezi? Oooopssss!!!! Hujawahi?[emoji23](Soma taratibu)

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shem bwana! Eti new gf alale nimkumbatie kwa nyuma hadi asubuhi, kuna utani mwingine sijui watu wamekunywa kisusio cha nini...eti kwa nyuma nimkumbatie...shem hivi umeelewa nachomaanisha?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu wa saa hizi naomba tu awe wa mwisho mkuu sina energy ya mahusiano mapya kabisa yaani inatosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shem bwana! Eti new gf alale nimkumbatie kwa nyuma hadi asubuhi, kuna utani mwingine sijui watu wamekunywa kisusio cha nini...eti kwa nyuma nimkumbatie...shem hivi umeelewa nachomaanisha?[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu wa saa hizi naomba tu awe wa mwisho mkuu sina energy ya mahusiano mapya kabisa yaani inatosha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunakuombea mkuu! Kweli inachosha leo huyu kesho yule...hata maungo yanachoka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shem bwana! Eti new gf alale nimkumbatie kwa nyuma hadi asubuhi, kuna utani mwingine sijui watu wamekunywa kisusio cha nini...eti kwa nyuma nimkumbatie...shem hivi umeelewa nachomaanisha?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuelewa sana sana Shem lake...
Ila wacha nikueleze hiki kitu kitakusaidia...

Unaelewa namna ukilala na Mwanamke usimfanye kitu.. narudia, usimfanye kitu kunavyokupa Ushindi wewe Mwanaume...Unaweza kupewa na usivyoomba[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza mazoea ya kuleta rafiki kwako unaanzia wapi, ngoja niwakumbushe marafiki zangu wa jinsia KE huku, nikikukaribisha na ukakubali kuja kwangu(nyumbani) ama hotel/lodge na kuna uwezekano wa kulala, jiandae kuliwa la sivyo tukutane kwenye vi mghawaha tupige story
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…