Wale wenye uwezo wa kulala na mwanamke bila ya kufanya naye mapenzi iwe ni mara ya kwanza au ni marafiki au wapenzi

Exactly, sasa umekuja kwangu (place) afu unalala papa ninaliangalia tuu [emoji848]
 
Hahaha, shem bwana... first time sleepover wewe jiandae tu, msituchanganye bwana eti tuvumilie wakati wenyewe mmeamua kuja kulala[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama kigezo cha ugentlemen ni hiki mimi nmekosa,yaani ulale nizime taa eti tuko karibu na ni kwa mara ya kwanza
 
Kwaiyo hata kama hutaki miaka 2 mwanaume atulie Tu kwasababu wewe hutaki?
 
Kwaiyo hata kama hutaki miaka 2 mwanaume atulie Tu kwasababu wewe hutaki?
Hayo ni matatizo mengine kama sitaki miaka miwili hio inakuwa ni ugonjwa mwingine.Hata hivyo kuna kipindi mtu atakuwa mjamzito siku za mwisho na baada ya kujifungua inakuwa hamuwezi kufanya kitu.Kwa hiyo hapo mtu asilale na mtu kitandani kisa atataka na wewe hutaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…