Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Hata mimi naona kama ni unyanyasaji , maana unaweza kuta wanakataa, ila wanakuwa waoga
 
Du! watu muna moyo. Yaani bado upo tu unavumilia aje na wa nne.
 
Miaka kumi watatu, ikifika miaka 20 idadi itakuwa kubwa zaidi.

Kinachofuata ni maradhi maana mumeo hatumii kinga.

Yafuatayo huenda yakatia aibu zaidi.

Ongea naye.
Mie kidume lakini nyie wanawake mnatia ujinga mwingi sana. Sasa aongee nae ninj hapo? Ni kuchukua kilichochako na kusepa end of story.
 
Wewe kweli ni wife material
 
Asante mbona nishakoma kitambo. Ila na wao wamekoma maana wanakomaaga na mimba zao na kulea watoto wao bila usaidizi. Sijawahi kuonana nao tangu niwafukuze kwangu, wanapambana huko vijijini
Pamoja na hayo, Sheria inasema Wanastahili Urithi. Hakuna mwanaharamu mbele ya Sheria bali wazazi haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…