Unajua kama huyo mwanaume unayeishi nae ni mbakaji? Sasa nikwambie sifa ya mtu mbakaji? Hua haachi, Atahamia kwa watoto wake wa kuzaa ambao ni wako pia,
Kishazoea kutembea na watoto wadogo (house girls),
Unajisifu una mwaka mzima hujaweka house girl ukifika mwaka wa pili ataanza na mtoto wenu wa kwanza (hua hawajali jinsi hao),
You look so pathetic and fool kwa kuendelea kumkumbatia huyo mbakaji na mnyanyasaji wa jinsia hapo bado sijaja kwako jinsi anavyokudharau hadi kufikia hatua ya kubaka wasaidizi wenu katika kitanda chenu, ndugu zako wamepona? Ndugu zake je?
Wakati unaona unawakomesha hao wahanga wa ubakwaji, don't forget about Karma, do you know what they say?
Karma is a Bitch.