Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Unajua kama huyo mwanaume unayeishi nae ni mbakaji? Sasa nikwambie sifa ya mtu mbakaji? Hua haachi, Atahamia kwa watoto wake wa kuzaa ambao ni wako pia,

Kishazoea kutembea na watoto wadogo (house girls),
Unajisifu una mwaka mzima hujaweka house girl ukifika mwaka wa pili ataanza na mtoto wenu wa kwanza (hua hawajali jinsi hao),

You look so pathetic and fool kwa kuendelea kumkumbatia huyo mbakaji na mnyanyasaji wa jinsia hapo bado sijaja kwako jinsi anavyokudharau hadi kufikia hatua ya kubaka wasaidizi wenu katika kitanda chenu, ndugu zako wamepona? Ndugu zake je?

Wakati unaona unawakomesha hao wahanga wa ubakwaji, don't forget about Karma, do you know what they say?

Karma is a Bitch.
Mtoa mada hataki kushauliwa hivi wala kumpa lawama mumewe fatilia comments zake anachotaka yeye Dada wa kazi wapewe lawama nzote
 
Asante kunihurumia. Pia nawashukuru wote kwa ushuriki wenu. Nimeelewa kuwa sipo peke yangu, kuna wababa waliowatia mimba hadi binti zao wa kuwazaa nk. Wa kwangu miye kawatia mimba mabinti wa umri wa miaka 18_19 ndani ya muda wa miaka zaidi ya 10, sio mfululizo.
Pia nimegundua watu wengi wanapigania ndoa zao kwa sababu ya mali na urithi, bali mimi issue kubwa inayonitesa ni kuchangia rungu, inauma sipendi.
Asanteni sana na Mungu awabariki.
BYE, BYE !
Mjadala bado haujafungwa ndugu, huyo BARADHULI unayemuita mume atazidi kukuletea mabalaa makubwa zaidi. Kuna siku atamtandika mimba dada yako ama mdogo wako ili akili ikukae vizuri. Bye bye.
 
Ushauri wako si wa kujenga. Kuolewa au kuoa ni haki ya kila mwanamke na mwanaume. Pia we wajua mahitaji ya mwili ni pamoja na hilo.
Huwezi amini kama kuna mtu anaishi bila kinyongo na mwanamke au mtu yeyote duniani ni mimi. Na ndo maana hadi leo nipo na mume wangu na ninaamini ananipenda sanaaa tu. Haya nimeyaweka huku ili kupata maoni ya wengine tu.
Watoto wangu nipo nao karibu sana na haya yanayotokea kwa ma hg wala hawayajui. Huwa tunayamaliza na baba yao faraghani sana. Watoto wapo vizuri sana maana wanapata upendo wa baba na mama.
Kwa taarifa yako nyumba yangu au maisha ninayoishi mimi na familia yangu ni ya amani na furaha kiasi kwamba majirani na watu kutoka sehemu zingine na ndugu zetu wengine wanakuja kuomba ushauri.

Nilichogundua wewe ni mwanamke unaejitambua na kujua nini maana ya mahusiano na mwanadamu mwenzio....shemeji kapata mke kweli!!...nakusihi endelea kumpenda mumeo na kutunza ndoa yako faida yake utaiona uzeeni. Hongera kwa kuwa na moyo mkuu.
 
Miye kwa sasa nimegeuka hg mwenyewe kwa ajili ya woga. Nipo bize ka mwehu
Acha ujinga utachoka na ataendelea tu, jipe furaha mwanamke kwanini ingekua unahangaika kunifurahisha Mungu hivyo ungekua mbali, huyo hawez kuacha milele jipe Raha kuwa mkali atumie kondom na wewe ukichoka sepa zako
 
Naam ni

Sahihi desturi ya umalaya Ni kukosa haya .. ukishakuwa Malaya Sana haya inakutoweka na kila mtu ataye katiza mbele yako unaona nihalali tu kwako unakuwa unafuata kile Ambacho matamanio yako yanasema hii Ni mbaya Sana na Ni dalili za kukosa utashi wa kufikiri
Mbona humu ndani nasikia wewe nawe ni hanja hanja hakuna binti humu hujamtongoza. Hebu jitetee
 
Amina Asante dia kwa comment yako nzuri inayofaa kwa wanawake wote. Ni kweli mke hatakiwi kuikimbia ndoa yake au nyumba yake ambayo wamejenga wote na mumewe, aondoke aende wapi. Hakuna anayetakiwa kuondoka kati ya mume au mke maana wote pale kila mtu ni kwake.
Unakuta huyu anashauriwa aondoke,akiondoka baada ya miezi miwili au mitatu anaanza kutembea na waume za watu anageuka mwiba kwenye ndoa za watu.....unamuacha mmeo kwa uzinzi unaenda kuvunja ndoa za watu kwa uzinzi lzima uzae mapooza
 
Acha ujinga utachoka na ataendelea tu, jipe furaha mwanamke kwanini ingekua unahangaika kunifurahisha Mungu hivyo ungekua mbali, huyo hawez kuacha milele jipe Raha kuwa mkali atumie kondom na wewe ukichoka sepa zako
Mama Terry, nawewe umeachika?
 
Unakuta huyu anashauriwa aondoke,akiondoka baada ya miezi miwili au mitatu anaanza kutembea na waume za watu anageuka mwiba kwenye ndoa za watu.....unamuacha mmeo kwa uzinzi unaenda kuvunja ndoa za watu kwa uzinzi lzima uzae mapooza
Mama Terry ona ambao wamebanana na waume zao wanavyokomenti
 
Mama Terry, nawewe umeachika?
Wala nipo nimejaa teleee, ntajaribu kumuambia tu yeye kufanya makaz yote na kuchoka anazidi kupunguza efficiency yake ya kusex na haisaidii chochote mwanaume asiye na adabu kutulia. Arelax tu ajipende
 
Bas unge muambia huyo mumeo aweke misingi sahihi juu ya tatzo hilo, mtakuja kufanyia wengine mtaona Dunia chungu ooooh. Ila poleeh kwa masaibu.
Shoga angu nna mwili wa nyama siyo chuma,mshahara wake dhambi Ni mauti ya milele,wakijamlipizia kwa anayoyafanya atajijua mwenyewe,mie sihusiki
 
Tunatofautiana sana Duniani, bado unasubiri nini Kwenye hio ndoa? Au ya shem ya dhahabu?
 
Back
Top Bottom