Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Wale wenye waume waliowatia mimba binti zao wa kazi mje tushauriane

Sawa dear.

Unajua kama huyo mwanaume unayeishi nae ni mbakaji? Sasa nikwambie sifa ya mtu mbakaji? Hua haachi, Atahamia kwa watoto wake wa kuzaa ambao ni wako pia,

Kishazoea kutembea na watoto wadogo (house girls),
Unajisifu una mwaka mzima hujaweka house girl ukifika mwaka wa pili ataanza na mtoto wenu wa kwanza (hua hawajali jinsi hao),

You look so pathetic and fool kwa kuendelea kumkumbatia huyo mbakaji na mnyanyasaji wa jinsia hapo bado sijaja kwako jinsi anavyokudharau hadi kufikia hatua ya kubaka wasaidizi wenu katika kitanda chenu, ndugu zako wamepona? Ndugu zake je?

Wakati unaona unawakomesha hao wahanga wa ubakwaji, don't forget about Karma, do you know what they say?

Karma is a Bitch.
Huwezi kutoa ushauri mzuri maana wewe ni lesbian
 
Sasa hapa ili niwe positive natakiwa niseme.
"Ndiyo Mkuu, dada anakuja kisu kikatili.
Your own type bro.
Yani unaachaje kumega sasa, kula muhimuuuu."

Hapa ndo ngekuwa positive na maswala ya ndoa.
Maswala yenyewe ya ndoa ndo haya unataka niwe nayo positive😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wewe umeanza kumdhihaki mtoa mada like she is crazy to keep up with her man.

Like amefanya kosa sana kuja ku express his situation while yeye mwenyewe yuko positive its like alichemka mahali. Now anajibidiisha you would have been positive to appreciate it. Jamaa alianza huo mchezo baada ya mama kujisahau. It happens everywhere mkiolewa mnajisahau ikianza michepuko mwalia lia.
 
Woman, i love you. Wanawake tunatiaga huruma, ujinga wa mwanaume ila tutautafutia excuse ili ionekane tu haikuwa ni kosa lao. Wao ni watoto kila siku, hawana ufahamu wa kulijua jema lipi na baya lipi

Ujue nasoma comments hadi macho yanapoteza uono; like seriously ndiyo tumefika huku?Mabinti wengi wa kazi wanatoka kwenye familia zisizojiweza, wanakuja kwetu wenye unafuu kidogo angalau wajipatie ridhiki watunze familia zao. Imagine huku kwetu wanapotutegemea, ndiyo wanakutana na hawa wabakaji tunaowaita waume zetu: disgusting.
Majority ni watoto ambao hawawezi kujitetea; hawa waume zetu wanatake advantage wa unyonge wao. Wanawatia mimba afu tunaishia kiwafukuza warudi vijijini kwao wakaongeze ugumu wa maisha. Tunashiriki kuharibu maisha ya watoto wa wengine, afu tunajifanya "watoto wangu wapo vizuri tu na tunaishi kwa amani"; amani ipi hiyo wakati mnapanda uharibifu kwa watoto wa wengine? Huyo Mungu haoni machozi na magumu mnayoyapanda kwa watoto wa watu?

Hivi maids si wanatakiwa watreatiwe kama watoto wa nyumbani, tangu lini wamegeuka kuwa wake zenu? Mwanaume asiyeweza kuheshimu mabinti wa nyumbani kwake; huko nje si ndiyo papuchi zinamtambua kwa zipu? Na kama anaweza kulala na maid ambaye ni kama binti yake, siku akikosa maid si ndiyo atahamia kwa binti zake au watoto wake wa kiume? Vijana wa kiume wajifunzie kukojoa kwa maids, na wewe baba mzima ukalale na maid; no wonder unakuta familia nzima imeambukizwa gonjwa kisa tamaa. Mnavyovipanda kwa mabinti wa wenzenu; mtavivuna kwa vizazi vyenu. Ngoja siku muingie kwenye familia zilizoshindikanika, mkatie mimba watoto wa watu afu mjifanye kuwatelekeza; maji mtaita mma.

Mijinga mingine haina hata haya, eti kuna maids wana makalio; kwa hiyo na mabinti zenu wakiwa na makalio mtawalala? Huo ufirauni wenu uwe na limit.
Shemeji acha povu basi😂
 
Shoga angu nna mwili wa nyama siyo chuma,mshahara wake dhambi Ni mauti ya milele,wakijamlipizia kwa anayoyafanya atajijua mwenyewe,mie sihusiki
Yaan sio vizuri kuwatelekeza watoto wa watu na mizigo yenu nyie ma boss, sipendezwi na situation km hii.
 
kula hg ni kutega bomu uvungu wa kitanda chako
hutajificha milele😛😛
 
Wewe umeanza kumdhihaki mtoa mada like she is crazy to keep up with her man.

Like amefanya kosa sana kuja ku express his situation while yeye mwenyewe yuko positive its like alichemka mahali. Now anajibidiisha you would have been positive to appreciate it. Jamaa alianza huo mchezo baada ya mama kujisahau. It happens everywhere mkiolewa mnajisahau ikianza michepuko mwalia lia.
Sawa
 
Basi achana na misafari yako... mtegee kitumbua mumeo akile mpaka akinahi... sasa kama kutwa uko kwenye visafari vyako ulitaka rungu akaioshee kwa mitetea wakati housegirl yupo anapendeza kila siku?
😁😁😁
 
Idadi yao yawezafikia watatu, ingawa mmoja alikanusha. Ila wawili nina uhakika maana alikubali na kuomba msamaha. Tuna miaka zaidi ya kumi ndoani. Kazi yangu ni ya kusafiri sana.

Saikolojia yangu imeathirika ikiwemo kutojiamini na pia pressure.
Poor writing skill
 
Nilichogundua wewe ni mwanamke unaejitambua na kujua nini maana ya mahusiano na mwanadamu mwenzio....shemeji kapata mke kweli!!...nakusihi endelea kumpenda mumeo na kutunza ndoa yako faida yake utaiona uzeeni. Hongera kwa kuwa na moyo mkuu.
Kama watauona uzee. Ngono zembe hizi mwisho wake ni bahati nasibu.
 
Back
Top Bottom