- Kupitia hii huduma www.bit.ly/101buy4me mimi nachukua dhamana ya kuhakikisha mzigo unakufikia kwa wakatiNiko mwanza nataka niagize note7 via aliexpress ila nawaza makodi mara mzigo ushikiliwe hata sijui pa kuanzia
Nipe order yako, na hakika mzigo utakufikia.Niko mwanza nataka niagize note7 via
Pia ameweka camera kubwa 64MP - Hii inawafaa sana youtuber wenye TV channel kufanya upload za video zenye quality kubwa.note 8 pro kitu cha water proof
Daah ungeiacha at least siku 3 ili mchele unyonye unyevu nyevu wote
Mimi nikizichovga nahamia kwenye kitochi hata ipite wiki ndio na fukua kaburi.Hicho ndo kilinikost redmi note kuharibika siku mbili niliona kama mwaka, nikaitoa mapema baada ya masaa 12 , kuitumia ikafa spika [emoji23][emoji23]
Mimi nikizichovga nahamia kwenye kitochi hata ipite wiki ndio na fukua kaburi.
Mchele haujawahi kuniangusha
Mkuu niweke bajeti ya kiasi gani mpaka kuipata hiyo simu mkononi kwa bei ya chini kbsaNipe order yako, na hakika mzigo utakufikia.
Ninatoa huduma ya uagizaji bidhaa kwa walio mikoani, na hata nchi za jirani ( DRC, Zambia etl ) na bidhaa zao huwafikia
Manunuzi hadi Dar = TZS. 427000Mkuu niweke bajeti ya kiasi gani mpaka kuipata hiyo simu mkononi kwa bei ya chini kbsa
Mie wananitoza 2,500 sijui kwanini viwango tofautiMzigo wa majaribio umeshafika huku mkoani Songwe ,ndani ya mwezi mmoja
Sasa ni wasaa mzuri wa kujilipua na Xiaomi Brands
Next - Xiaomi RedMi Note 7View attachment 1200909
Note
Wamenitoza kila Parcel 1500.
Mbona Mbeya ni freeMie wananitoza 2,500 sijui kwanini viwango tofauti
Mimi wa Temeke Dar kila parcel 2500 na unapewa receipt ya EFD sijaelewa kwanini Kuna utofautiMbona Mbeya ni free
Mbeya wanatoza ushuru kuanzia parcel za uzito fulani japokuwa sijajua na uzito gan coz kuna niliagiza Xiaomi 2 na bado sikulipia ushuru... But kuna kipindi niliishi Kyela walikuwa wanatoza 1500 na risit EFD unapewa.Mimi wa Temeke Dar kila parcel 2500 na unapewa receipt ya EFD sijaelewa kwanini Kuna utofauti
Hapo sijajua ,nilipewa na Risiti pia ,Mzigo wangu niliupokelea hapa Tunduma Border 1500 @1 ParcelMie wananitoza 2,500 sijui kwanini viwango tofauti
Mkoani Hawatozi hizi Small Parcel,ila wilayani,tarafa kijiji n.k unalipia kuanzia 1500 kufuatana na sehemu na uzito wa MzigoMbeya wanatoza ushuru kuanzia parcel za uzito fulani japokuwa sijajua na uzito gan coz kuna niliagiza Xiaomi 2 na bado sikulipia ushuru... But kuna kipindi niliishi Kyela walikuwa wanatoza 1500 na risit EFD unapewa.
Ila DAR ndo shida ilipo,ukidakwa Kodi unaweza lipa had 50,000 na zaidi,tena hapo ndo hujatumia DHLMkoani Hawatozi hizi Small Parcel,ila wilayani,tarafa kijiji n.k unalipia kuanzia 1500 kufuatana na sehemu na uzito wa Mzigo
Mbona mimi sijawah kutozwa kodi mizigo yote 7Ila DAR ndo shida ilipo,ukidakwa Kodi unaweza lipa had 50,000 na zaidi,tena hapo ndo hujatumia DHL
well saidMkoani Hawatozi hizi Small Parcel,ila wilayani,tarafa kijiji n.k unalipia kuanzia 1500 kufuatana na sehemu na uzito wa Mzigo
Wenyewe wanasema vipaseli vya kutoka nje ya nchi wanachaji hyo pesa nakumbuka last week nilipokea simu nikalipa 2250Mie wananitoza 2,500 sijui kwanini viwango tofauti