Marashaaa95
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 845
- 722
Ndio ndio,labda POSTA MASTER muwe mnafahamiana nae ,unachukua bure,ila kwa sie tusiofahamika ,ni kuanzia 1500 huku wilayani
Wenyewe wanasema vipaseli vya kutoka nje ya nchi wanachaji hyo pesa nakumbuka last week nilipokea simu nikalipa 2250