Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Naomba link tafadhali maana hapa natumia Redmi Note 7 Pro haijawahi kuniangusha. Ila juzi nimepata nayo ajali imepinda katikati na kuvunja kioo... Ingawa bado naitumia ila naiona haina maisha marefu toka sasa.
Nimekutumia pm mkuu.
 
  • heading ya uzi na mnavotaka ndio mnajenga LIGI za mchangani

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja​

 
mkuu hii umetumia shipping method ipi? maana naona dhl which is very expensive.

Au seller yupi anatuma kwa standard shipping? View attachment 1825840
IZI SIMU ZIKO TIGO UNAPATA KWA 270,000 -450,000 NA GB KIBAO MWAKA MZIMA MIMI NINAYO MOJA, NA UNATUMIA LAINI YEYOTE
Shida yake ni processor
  • heading ya uzi na mnavotaka ndio mnajenga LIGI za mchangani

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja​

sasa ww huku elewa uyo alie uliza hapo juu kua ame tumia shipping method ipi maana alishangaa kuona kuisafirisha tu hiyo sim kuja bongo hela ina kua nying ww haraka haraka ukajibu kua hizo simu zipo tigo kwa bei ya sh 270k mpaka 450k kumbuka hapo sim ilikua ni Redmi Note 10 aya naomba bei ya Note 10 apo tigo ulipo sema hizo sim n bei hizo hiyo 9c sio ishu maana haina maajabu na sio kusudio la muuliza swali pale juu maana tunajua series za redmi hua ni rahis kulinganisha na matoleo ya Note ama Mi ......
 
Accessories mi huwa naagiza kupitia AliExpress Kama kawaida, bongo hapa hakuna
 
Nataka ninunue redmi,nahofia ikipasuka kioo,je spea zipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…