pirate
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 718
- 703
Nimekutumia pm mkuu.Naomba link tafadhali maana hapa natumia Redmi Note 7 Pro haijawahi kuniangusha. Ila juzi nimepata nayo ajali imepinda katikati na kuvunja kioo... Ingawa bado naitumia ila naiona haina maisha marefu toka sasa.