Mkuu hv ni model zote za xiaomi zina matatzo ya battery..coz hapa nna mi max inasumbua chaji ikifikia 30% inazima ghafla hasa nkiwa internet.. Vp unazunguziaje kuhus hz batteries za lithium ion vs lithium polymer ipi bora? Maana hawa jamaa model zote wanatumia li-poNi simu gani?
Mmmmh! Ushatumia then unauza bei hio wakati Aliexpress ni around 130$
usitegemee utashinda kila dispute mzee wale sio wajinga wanasimamia haki na ikionekana seller ametekeleza wajibu wake lakini mzigo umepotelea huku nchini kwako sijui posta wameiba hapo seller hana makosa na anashinda hupati chochote kile...omba Mungu tu ukutane na seller mstaarabu muongee vizuri akuhurumie akutumie mzigo mwngn tofauti na hapo lazma utoke damukwani si kuna kitufe cha dispute pale? hua kina kazi gani kwa mfano mzigo umepotea
Mkuu hv ni model zote za xiaomi zina matatzo ya battery..coz hapa nna mi max inasumbua chaji ikifikia 30% inazima ghafla hasa nkiwa internet.. Vp unazunguziaje kuhus hz batteries za lithium ion vs lithium polymer ipi bora? Maana hawa jamaa model zote wanatumia li-po
SanaDuh sio mchezo, ila kako mstari sana.
Link inazingua "error"Follow this link to message me on WhatsApp: Share on WhatsApp
mpaka sasa dispute zote nimeshinda na evidence natoa kama nimepokeakina.tatizo, sasa nikuulize huo mzigo umepotea posta nchini kwako je wewe ulikufikia? kwa hiyo kila mzigo ukipotea nchini kwako hujaupata kosa linakua la kwako wewe si.ndio ambao umezembea airport kwenda kuchukua parcel yako sio? taratibu kwanza sheria zote za mule umezisoma? ili mzigo uwe halali kwako ni lazima upokee wewe au ufate airport?usitegemee utashinda kila dispute mzee wale sio wajinga wanasimamia haki na ikionekana seller ametekeleza wajibu wake lakini mzigo umepotelea huku nchini kwako sijui posta wameiba hapo seller hana makosa na anashinda hupati chochote kile...omba Mungu tu ukutane na seller mstaarabu muongee vizuri akuhurumie akutumie mzigo mwngn tofauti na hapo lazma utoke damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye dispute unatakiwa uwe mjanja Sana,kumbana Seller pande zote na kutoa strong evidence vinginevyo unajifunga mwenyewe!!!mpaka sasa dispute zote nimeshinda na evidence natoa kama nimepokeakina.tatizo, sasa nikuulize huo mzigo umepotea posta nchini kwako je wewe ulikufikia? kwa hiyo kila mzigo ukipotea nchini kwako hujaupata kosa linakua la kwako wewe si.ndio ambao umezembea airport kwenda kuchukua parcel yako sio? taratibu kwanza sheria zote za mule umezisoma? ili mzigo uwe halali kwako ni lazima upokee wewe au ufate airport?
Ebu tupe somo moja ya strong reason inaweza kuwa ni ipi?Kwenye dispute unatakiwa uwe mjanja Sana,kumbana Seller pande zote na kutoa strong evidence vinginevyo unajifunga mwenyewe!!!
Mi sijawahi shindwa dispute, pia Kama Mara 3 nilishinda dispute pesa zikarudi then mizigo ikafika nje ya muda uliowekwa so ikabidi nimalizane nao pembeni kujenga uaminifu
View attachment 993828
Inategemea mazingira ya dispute!!Ebu tupe somo moja ya strong reason inaweza kuwa ni ipi?
Mkuu redmi note 7 ni sh ngapi mpaka mkononi?Follow this link to message me on WhatsApp: Share on WhatsApp
Rock ni nzuri sana kushinda Xiaomi tatizo hazichelewi kuharibika na hata kwenye reviews nimeona watu wengi wanalalamikia hilo.Kuna uzi wa earphone mkuu..ukiupitia ule utapata earphone kali zaid ya xiaomi..tena kwa bei almost sawa na za xiaomi..
Mi narecomend Rock Zircon hizi ni balaa..nilinunua kwa 24,000 tu...tareh 11 kuna discount zitapatakana hadi kwa 7 usd
Yaa rock niliona review ya connector haikua nzur...ila yangu tangu mwaka jana mwezi wa pili hadi leo haijasumbua..yani iko poa sanaRock ni nzuri sana kushinda Xiaomi tatizo hazichelewi kuharibika na hata kwenye reviews nimeona watu wengi wanalalamikia hilo.
Zangu zilikaa miezi miwili tu ile connector ikaanza kusumbua,Sasa nina za Xiaomi nazo ni nzuri ila sio kuzidi Rock
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwel mkuu ziagize tena...Rock balaaDah una bahati sana Mkuu,yaani yangu iliniuma sana maana earphones zilikua ni balaa zile.
Ila ntajaribu kuziagiza tena,labda ile ilikua bahati mbaya tu
Sent using Jamii Forums mobile app