Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
cm je huziuzi?![]()
![]()
kwa wale wanaopenda mzk earphones za xiaomi hzo hapo znapatkana kwa bei poa tu 25K hapa hapa bongo huna haja yakuziagza
hapana ila na redmi 4 pro yang nauza kama unahtajicm je huziuzi?
tupo kaka pata xiaomi moja hutajutiaKumbe watumiaji wa Xiaomi mpoo ila kwa TZ wachache sana. Natumia Tecno but ina OS ya MIUI 9 - 7.11.16 ya Redmi Note 3G.
tz hakuna maduka maalumu yanayouza utapata kwa watu ambao wameshaziagza kama mm huwa nafahamiana na wadau wng wanauza xiaomiNgapi kwa TZ
nchek PMWadau wako wapi, weka mawasiliano yako
Nadhani itakua zipo ktk sale tu.Hello nimeona bangood km bei zinashuka chini zinashuka bei
Je, ni kwamba zinaelekea kuisha sokoni.
Au Wateja washakuwa wengi.
Au ni MBINU za kuwavutia tu wateja ??
Toa Maelezo Ili Tununue Bei Inaanzia Ngapi ? Kamera Zake Ukubwa Gani Na Je Ni Quality ? Vip Ram Na Processer ?Ziko poa tu kaka bei inatofautiana kwani ziko aina nyingi
Unapata Kama Kipi Hebu Nishawishi MkuuNi simu nzuri sana aisee kwa kila kitu napata kile nachohitaji kwa bei resonable kabisa
Xiaomi Redmi 5 Plus. Unaipata chini ya 200 USDUnapata Kama Kipi Hebu Nishawishi Mkuu
Xiaomi, simu zao latest nyingi zinaanzia na 5.0-inchhivi hawa wachina hawana simu za android zenye hizo specs na vioo vidogo na umbo la iphone 5s??