Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,931
Dah yko mkoa gani anipe ujuzi,maana nimekigeuza km pambo tuMkuu tatizo lako lilinikumba hata mimi na nokia 105 mara ya kwanza navyonunua niliweka security code bahada ya muda nikaweka off zile code,lakin nikitoa laini ambazo zilikuwepo mule nikiweka laini nyingine inanidai code nimeingiza zile code za kila aina inagoma,kuna jamaha mtaalam wa simu nikampa sa sijui aliiflash au aliunlock saizi naweka laini yeyoteView attachment 981474
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app