Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Wale wote wanaotumia bidhaa za kampuni ya Xiaomi tukutane hapa ili kupeana ujanja

Thanks for that...nimeanza kufatlia hiz Xiaomi baada ya kuona maelezo unayotolea, nimeona reviews had jana usiku za Mi 9 nikaikubal sana.





Hii Oneplus 7 au 7pro nahic zitakua ghali hiv kias chake. Sema uzur wa Oneplus bei zao hazipo juu kivile so hata hiyo nahic haitafikia bei za S10+
Hapo kwa haraka haraka bila ya kupepesa macho chukua Mi 9, sababu ni flagship ya mwaka huu overall ipo vema zaidi katika vitu vingi, kuanzia chipset, camera, built quality, nk. Na Hizo nyingine zote ni flagships za mwaka jana kwahivyo zimepitwa vitu vingi na Mi 9. Kama Xiaomi iweke Mi 8 au Mi Mix 3 ndio level ya hizo nyingine.

Kama unaweza kusubiri kidogo hadi May 14 subiria "real flagships killer" OnePlus 7 Series.

View attachment 1083913
 
Thanks for that...nimeanza kufatlia hiz Xiaomi baada ya kuona maelezo unayotolea, nimeona reviews had jana usiku za Mi 9 nikaikubal sana.





Hii Oneplus 7 au 7pro nahic zitakua ghali hiv kias chake. Sema uzur wa Oneplus bei zao hazipo juu kivile so hata hiyo nahic haitafikia bei za S10+
Hii Xiaomi inakuja kwa kasi sana, ila kwenye hizi high-end zao huwa hawaweki baadhi ya vitu vinavyoweza kuongeza bei ya simu mf: IP Certified waterproof & dustproof, ila kwa hii Mi 9 kwenye hardware ipo njema sana, wame improve katika vitu vingi ukilinginisha na matoleo ya nyuma.

Kwa upande OnePlus wanajaribu kuweka vitu vyote kama kwenye flagships nyingine lakini bei bado inakuwa chini.
 
Mkuu wanavyo calculate kodi ni tofauti na ww unavyofikiria hapo,mm nilikuwa mtata nikaingia hadi ndani kule kupigiana hesabu moja moja na hayo waliyoongeza nikibaki nimepigwa butwaa tu.Ngoja nitapiga ile karatasi picha niwatumie muone mlolongo ulivyo wa hawa jamaa.
So inamaana wanagonga hadi 40% Mbona kukomoana huko sasa
 
So inamaana wanagonga hadi 40% Mbona kukomoana huko sasa
Sio kukomoana ndio sheria zetu zilivyo. Kuna baadhi ya bidhaa hakuna kodi, kuna bidhaa utalipia VAT pekee na kuna bidhaa utalipia VAT + CUSTOMS DUTY & OTHERS FEES. Sasa usiombe hii ya mwisho ikukute ukiwa hauna habari, utaipata pata.
 
Usijali haulipii kitu.
Sahihi nimechukua tayari mzigo wa dola 135 Kitu cha Lenovo K5 pro tena seller ameandika kabisa "mobile phone" wala hakufanya distinguish na sijaona vuguvugu lolote la kudaiwa kodi.
Nadhani jamaa wana vigezo vyao Nani alipe na Nani asilipe!!!
 
Sahihi nimechukua tayari mzigo wa dola 135 Kitu cha Lenovo K5 pro tena seller ameandika kabisa "phone" wala hakufanya distinguish na sijaona vuguvugu lolote la kudaiwa kodi.
Nadhani jamaa wana vigezo vyao Nani alipe na Nani asilipe!!!
Dah Mkuu una bahati sanaaa. Nahisi sisi wengine tuna damu ya kunguni[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii Xiaomi inakuja kwa kasi sana, ila kwenye hizi high-end zao huwa hawaweki baadhi ya vitu vinavyoweza kuongeza bei ya simu mf: IP Certified waterproof & dustproof, ila kwa hii Mi 9 kwenye hardware ipo njema sana, wame improve katika vitu vingi ukilinginisha na matoleo ya nyuma.

Kwa upande OnePlus wanajaribu kuweka vitu vyote kama kwenye flagships nyingine lakini bei bado inakuwa chini.
Naona Oneplus 7 series zina pop up camera
 
Asipolipia ni bahati yake...me nimechukua mzigo jumamosi nimelipia
Mkuu sijakabwa kodi
1083986
 
Wapi naweza kupata hii simu kwa Dar?
View attachment 1030083
Xiaomi Pocophone F1 4G Phablet 6.18 inch Android 8.1 Qualcomm Snapdragon 845 Octa Core 2.8GHz 6GB RAM 64GB ROM 20.0MP Front Camera Fingerprint Sensor
● Display: 6.18 inch, 2246 x 1080 Pixel Screen
● CPU: Qualcomm Snapdragon 845 2.8GHz
● System: Android 8.1
● RAM + ROM: 6GB RAM + 64GB ROM
● Camera: 12.0MP + 5.0MP rear camera + 20.0MP front camera
● Sensor: Proximity Sensor, Accelerometer, E-compass, Fingerprint Sensor, Ambient Light Sensor, Gravity Sensor, Hall Sensor
● SIM Card: Nano SIM card + Nano SIM card / micro SD card
● Feature: GPS, A-GPS, Glonass, Beidou
● Bluetooth: 5.0
 
Back
Top Bottom