Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Mlevi akinywa akifanya kosa utasikia ni pombe ndiyo ilinisababishia nisamehe.Kwenye pombe kuna nguvu za giza za mashetani za kutosha ndio maana zinatakiwa zihifadhiwe kwe giza sio kwenye nuru ili zi absorb nguvu za giza za kumwingia mtu vizuri
2693943_IMG_0951.jpg
 
Walevi wengi wana nguvu za giza pombe wanazokunywa zimeandikwa store in cool dark place

Kuwa zinatakiwa zihifadhiwe eneo lenye giza ili wapate nguvu za giza
Zio bidhaa nyingi tu hutakiwi kuziweka kwenye mwanga kama unataka vidumu zaidi ikiwa ni pamoja na mafuta ya kupikia.
 
Wenye Biblia agano la kale ni wayahudi
Wana Biblia yao kabisa inaitwa Jewish Bible

Sababu agano la kale ni kati ya Mungu na wayahudi. kanisa lilipotaka kuchukua vitabu vya agano la kale lilichukua vitabu vya Biblia ya wayahudi wanayotumia hadi leo bila kuongeza kitabu au kupunguza

Hicho kitabu chako cha Sira wakatoliki walikiokota majalalani hakiko kwenye Biblia ya wayahudi .Wayahudi hawakitambui kwenye vitabu vyao vya agano la kale na ndio wenye agano lao sio wakatoliki waliookota jalalani hicho kitabu ume quote

Kukurahizishia nenda app store ka download Jewish Bible hicho kitabu hakimo

Na Jewish Bible haijawahi badilika hata kabla ya kanisa katoliki kuanzishwa hadi leo
 
Wenye Biblia agano la kale ni wayahudi
Wana Biblia yao kabisa inaitwa Jewish Bible

Sababu agano la kale ni kati ya Mungu na wayahudi. kanisa lilipotaka kuchukua vitabu vya agano la kale lilichukua vitabu vya Biblia ya wayahudi wanayotumia hadi leo bila kuongeza kitabu au kupunguza

Hicho kitabu chako cha Sira wakatoliki walikiokota majalalani hakiko kwenye Biblia ya wayahudi .Wayahudi hawakitambui kwenye vitabu vyao vya agano la kale na ndio wenye agano lao sio wakatoliki waliookota jalalani hicho kitabu ume quote

Kukurahizishia nenda app store ka download Jewish Bible hicho kitabu hakimo

Na Jewish Bible haijawahi badilika hata kabla ya kanisa katoliki kuanzishwa hadi leo

Majalalani wapi?

Be logical...
 
Majalalani wapi?

Be logical...
Kawaulize mapadri katoliki agano la kale la Biblia Vitabu walitoa wapi vinavyozidi Jewishi Bible kama makabayo ,Yoshua Bin Sira
nk wakati wayahudi walikuwa na Biblia yao tayari yenye vitabu vya agano Lao na Mungu

Wakristo madhehebu yote nje ya katoliki tumechukua vitabu vyote vya Jewish Bible kama agano la kale kwa sababu ni lao

Katoliki ndio wakaongeze vitabu vingine nje ya Jewish Bible ambavyo wayahudi wenye agano Lao hawavitambui na hawakuviweka kwenye Biblia yao inayotambuliwa na makanisa yote yasiyo katoliki

Ndio maana nasema kanisa katoliki liliviokota majalalani

Kasome hivyo vitabu kanisa katoliki liliviingiza lini kwenye Biblia yao ambayo havitambuliwi na makanisa mengine yasiyo ya kikatoliki waki vi vinukuu hivyo vitabu extra
 
Yesu hakugeuza maji kuwa mvinyo yaani pombe kali aligeuza maji kuwa divai yaani juice ya mizabibu

Mizabibu hutoa vinywaji viwili cha kwanza juice ya zabibu cha pili mvinyo yaani pombe kali

Yesu aligeuza maji kuwa divai sio mvinnyo
Haikuchachuka ni divai alcohol 0%.
 
Back
Top Bottom