Malezi na mwelekeo wa mtoto unaanzia kwa mzazi nyumbani,kama umemlea mtoto kimayai unategemea nini utakapompeleka boarding,mtoto hasa wa kiume kama umemlea ipasavyo malezi ya awali hata ukimpeleka bweni hawezi kuathirika na hizo tabia,sasa wewe unamletea mtoto series za kishoga na unamruhusu kuangalia unategemea nini
enzi zetu hakuna cha series ikikuwa ni mwendo wa movie za action bandika bandua za kina schwezi,Damme,Rambo,Bond& the same ukitoka hapo lazima ukapractise kitaa nanwatoto wenzako ni kuchapana makonde na binduki za mbao,mkitoka hapo ni mashindano ya magari ya waya mnakimbia na magari kama km 5 ukirudi home umechafuka kinoma unakula mkong'oto ndio uoge,ss haya malezi mnayowapa watoto siku hizi ndio yanawaharibu na hayo maseries ya kuiga ujinga,badilisha aina ya malezi ya awali kwa watoto na hawatapata hayo madhara