Walezi acheni kupeleka watoto bweni kama shule za kutwa zipo karibu. Bweni inaweza kuwa jehanamu kwa mtoto mdogo na kijana anayepitia balehe

Walezi acheni kupeleka watoto bweni kama shule za kutwa zipo karibu. Bweni inaweza kuwa jehanamu kwa mtoto mdogo na kijana anayepitia balehe

Wazazi wengi wanaaamini kumfungia ndani Mtoto Kama kuku wa kisasa ndio atapata elimu bora!!

KUMBE Mtoto anapaswa asome vyote, vya shuleni na mtaani!ukimwepusha na mtaa atakuja kuukuta na atafeli KU adapt mazingira!!Boarding KWA advance angalau lakini nursery , msingi na O-level kutwa inamfaa ZAIDI!!

Wazazi tubadilike!

Nb;

Division two ya kutwa ni Bora kuliko one ya Boarding!
 
Ukitaka kufanya mistake kwa wanao wapeleke boarding mapema mtoto kule ataondoka na vitu vitatu kati ya hivi

1. Kutokana na tabia chafu zinazoenea siku izi na kuonekana za kawaida jua kabisa boarding kuna ubabe mwingi yani kama jera kama mtoto wako ana sura ya mama ake mzuri mzuri lazima wampasue linda nakazia apa lazima wamchane tako nakumbuka ilikua miaka ya 90 tupo boarding kuna dogo alichanwa linda na wababe flani kisa deni

2. Apa utatengeneza mtoto mchoyo sana yani mbinafsi kwasababu maisha ya boarding nikuangalia mali zako tu hawafundishwi kitu kinaitwa sharing hii tabia watoto huwa wanarudi nayo nyumbani ndo maana unakuta mtu kasoma kafanikiwa vizuri lakini mgumu sana kweny mambo ya kusaidia watu waliomzunguka hata ndugu zake wa damu kwasababu maisha yake yote ametengenezwa kuwa mchoyo na mali zake kwaiyo ni vizuri umpeleke mtoto atleast A-level apo anajitambua

3. Upendo hupungua kwa wazazi
Nimejifunza na nimeipenda hii.
 
Nimekuwa na mashaka sana kwa mtoto wangu pekee wa kiume tofauti na dada zake, nawaza sana kumpeleka boarding shida hizo za ushoga na uonezi zinaweza kufanya nisimpeleke boarding hadi akifikisha 18+
 
Boarding schools kwasasa ndio VIWANDA vya kuzalisha ma LGBTIQ+ people, huko mbeleni tarajieni uwepo wa "maelfu kwa maelfu" ya vijana wa hovyo kabisa huko Tanzania.
 
Boarding sio pazuri cc cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Km ni Ushoga na usagaji, hata km muhusika hajaenda huko Boarding km n ana mavutio hayo, atakua tyuuh.

Ushoga na Usagaji ni zaidi ya Maisha ya boarding.

Labda hizo sabaabu nyingine.
 
KAMA BOARDING INGEKUWA INAZALISHA MASHOGA, BASI WOTE TUNGEKUWA MASHOGA.

MASHOGA WAKUU NDIO NYIE WENYEWE MNAFIRANA KAMA MABATA HUKO MTAANI ACHENI KUSINGIZIA BOARDING.

NAONA KUNA VITA YA KIBIASHARA HAPA KUPITIA MBINU YA KUCHOTA HISIA ZA WATU.

cc cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mie ndo nashawishi watu wapeleke watoto boarding?? Semeni na watoto wenu.
 
Boarding schools kwasasa ndio VIWANDA vya kuzalisha ma LGBTIQ+ people, huko mbeleni tarajieni uwepo wa "maelfu kwa maelfu" ya vijana wa hovyo kabisa huko Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Back
Top Bottom