Walezi acheni kupeleka watoto bweni kama shule za kutwa zipo karibu. Bweni inaweza kuwa jehanamu kwa mtoto mdogo na kijana anayepitia balehe

Wazazi wengi wanaaamini kumfungia ndani Mtoto Kama kuku wa kisasa ndio atapata elimu bora!!

KUMBE Mtoto anapaswa asome vyote, vya shuleni na mtaani!ukimwepusha na mtaa atakuja kuukuta na atafeli KU adapt mazingira!!Boarding KWA advance angalau lakini nursery , msingi na O-level kutwa inamfaa ZAIDI!!

Wazazi tubadilike!

Nb;

Division two ya kutwa ni Bora kuliko one ya Boarding!
 
Nimejifunza na nimeipenda hii.
 
Bording mtoto haendi bora ahamie gov
 
Nimekuwa na mashaka sana kwa mtoto wangu pekee wa kiume tofauti na dada zake, nawaza sana kumpeleka boarding shida hizo za ushoga na uonezi zinaweza kufanya nisimpeleke boarding hadi akifikisha 18+
 
Boarding schools kwasasa ndio VIWANDA vya kuzalisha ma LGBTIQ+ people, huko mbeleni tarajieni uwepo wa "maelfu kwa maelfu" ya vijana wa hovyo kabisa huko Tanzania.
 
Boarding sio pazuri cc cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Km ni Ushoga na usagaji, hata km muhusika hajaenda huko Boarding km n ana mavutio hayo, atakua tyuuh.

Ushoga na Usagaji ni zaidi ya Maisha ya boarding.

Labda hizo sabaabu nyingine.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani mie ndo nashawishi watu wapeleke watoto boarding?? Semeni na watoto wenu.
 
Boarding schools kwasasa ndio VIWANDA vya kuzalisha ma LGBTIQ+ people, huko mbeleni tarajieni uwepo wa "maelfu kwa maelfu" ya vijana wa hovyo kabisa huko Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…