- Thread starter
- #41
Asante kwa kunifungua hasa ss mabachelor bana duuh, this weekend nita mpikia wifi yako aisee then mrejesho utakuwa wa muhimu zaidi
Usijali tunasubiria mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kunifungua hasa ss mabachelor bana duuh, this weekend nita mpikia wifi yako aisee then mrejesho utakuwa wa muhimu zaidi
ok, thanks. Nshaprint hii page ya recipe.unaweza ila mcheshe kwanza alafu mkaande alafu supu yake ule uchanganyie wali badala ya maji itanoga zaidi
AN, nenda kampikie shemeji, halafu tusikie comments zake bila khiyana...!! farkhinaok, thanks. Nshaprint hii page ya recipe.
Thanks again
ah, muhimu mie kwanza. Huyo shem wenu ndo anafuatia, raha mtu hujipa mwenyewean, nenda kampikie shemeji, halafu tusikie comments zake bila khiyana...!! farkhina
Wallah, mie sili hadi wifi yako nilenae sufra moja.... Wee acha ubakhili !! uchoyo utakupeleka wapi ?? farkhina Tafadhali mnasih Angel !!ah, muhimu mie kwanza. Huyo shem wenu ndo anafuatia, raha mtu hujipa mwenyewe
ok, thanks. Nshaprint hii page ya recipe.
Thanks again
ah, muhimu mie kwanza. Huyo shem wenu ndo anafuatia, raha mtu hujipa mwenyewe
Ndo kwana umetaSabahu ?Hahahaha yawezekana anatania tu huyo la tahauf
Duh, asante sana, mate yananitoka kwa kuona picha tu, naona kama kumepungua kakachumbari kidogo pembeni wakati wa kula au??
Ndo kwana umetaSabahu ?
mmh kutokana na pirika pirika za siku hizi hakuna utani !!
Habibty weee sivyo hivyo mpikie bwana kwanza umlishe yeye ashibe halafu ule weye au mlishane ati
Nakuona ma mkwe.....mwanangu atafaidi kwa mafunzo hayo....lol
Hahahahah kumbe upo
Nipo mammy ....si unajua njaa tena...cha mwanzo unakimbilia jiko lol...
Hapo sasa sawa, asante sana.Salad ilikuepo sikueka picha hii nlisahau
Hapo sasa sawa, asante sana.
Somo huu wali usikose binzari nyembaba, was my favourite kabla hujanifundisha ule wali wa spinachi....