Wali wa kitunguu

Wali wa kitunguu

Niliwahi kuona mtu alipika huo wali ukabadilika na kua wa brown alisema wao wanaita pilau, binafsi ulinishinda ila napika wali wa kitunguu, kitunguu hakiivi sana, napenda viwe vinaonekana nikila.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Kaanga kitunguu na moto mdogo sana the results.. utapenda
 
Hello guys,

Kwa wale wanaopenda kula kama mimi nimeona niwashirikishe hili pishi rahisi sana. Mwaka jana mwishoni katika kuhangaika na maisha nilienda mkoa mmoja ndanindani huko. Kule nilikuta wanapika wali wa kitunguu kwa kweli niliupenda. Pengine wengine mnajua ila nina uhakika wapo ambao hawafahamu. Twende pamoja.

1. Andaa kitunguu maji katakata vipande vya kawaida.

2. Tia mafuta kwenye sufuria unayotaka kupikia wali (hakikisha umeandaa maji ya moto pembeni).

3. Tia vitunguu kwenye mafuta yaliyochemka, kaanga mpaka viungue (sio viive, vinatakiwa viungue).

4. Tia mchele, geuza hadi vitunguu vichanganyike na vitunguu (mchele ubadilike rangi). Baada ya hapo tia maji na endelea na hatua zingine kama kawaida.

Wali unakuwa na ladha fulani hivi ya kuvutia, mimi niliupenda najua na wewe utaupenda

Mimi huwa cachi viungue kabisa huwa vinakua brown flan hvi
 
Niliwahi kuona mtu alipika huo wali ukabadilika na kua wa brown alisema wao wanaita pilau, binafsi ulinishinda ila napika wali wa kitunguu, kitunguu hakiivi sana, napenda viwe vinaonekana nikila.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.

Vikiwa havijaiva sana vina boost immunity to fight Covid-19?
 
Hello guys,

Kwa wale wanaopenda kula kama mimi nimeona niwashirikishe hili pishi rahisi sana. Mwaka jana mwishoni katika kuhangaika na maisha nilienda mkoa mmoja ndanindani huko. Kule nilikuta wanapika wali wa kitunguu kwa kweli niliupenda. Pengine wengine mnajua ila nina uhakika wapo ambao hawafahamu. Twende pamoja.

1. Andaa kitunguu maji katakata vipande vya kawaida.

2. Tia mafuta kwenye sufuria unayotaka kupikia wali (hakikisha umeandaa maji ya moto pembeni).

3. Tia vitunguu kwenye mafuta yaliyochemka, kaanga mpaka viungue (sio viive, vinatakiwa viungue).

4. Tia mchele, geuza hadi vitunguu vichanganyike na vitunguu (mchele ubadilike rangi). Baada ya hapo tia maji na endelea na hatua zingine kama kawaida.

Wali unakuwa na ladha fulani hivi ya kuvutia, mimi niliupenda najua na wewe utaupenda
Kitunguu kina siri kubwa kwenye pishi lolote.. Hunogesha na kuleta ladha fulani very amazing

Jr[emoji769]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walai nimecheka na hili swali lako,

Hiyo ni signature nilikua naitumia zamani sasa nilivyoiacha ndio imekua juu kama vile nimeandika sambamba na comment lakini sivyo.

Hilo nalitambua, nimeamua tu kufanya masihara kufurahisha watu tuongeze siku za kuishi.

Lakini tukiweka utani pembeni kitunguu ni dawa hasa ukikitafuna kibichi. Tatizo harufu mdomoni, tena usiombe utafune kitunguu swaumu.
 
Back
Top Bottom