CHIEFMANGU
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 528
- 800
Mhamishe mtoto wako, mpeleke Feza schools huko, hakuna michango ya buku buku, utakuwa vere komfotabo!Usitudanganye we paka aliyekwambia mitihani inaleta sharpness nani? Kwa asilimia zote,,tamaa na shida za hovyo zinawasumhua,kuna muongozo wa elimu unaeleza ni kiasi gani cha mitihani mwanafunzi anatakiwa apewe na kila baada ya muda flani,usitujaze upepo