- Thread starter
- #21
Sawa mkuu,tunapambanaWalimu pambaneni mjiondoe cwt
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu,tunapambanaWalimu pambaneni mjiondoe cwt
Habari za Igalukilo, Shigala, Ngasamo, Bulima, Masanza Kona, Nyaluhande, Sayaka, Badugu, Nyashimo, Nasa n.k ndugu mwlMkuu hakuna mtu mpuuzi na mjinga kama bwana Kachoma,tumegoma kumnyenyekea,Haki haiombwi,inadaiwa, tunaendelea kushughulikia Kila sehemu,nasikia anampango wa kwenda kugombea ubunge,huyu jamaa kama wajumbe wananisikia wampige CHINI ,mnafiki sana,hafai
Nzuri sana mkuu,tuko tunaonja joto la Maiko KachomaHabari za Igalukilo, Shigala, Ngasamo, Bulima, Masanza Kona, Nyaluhande, Sayaka, Badugu, Nyashimo, Nasa n.k ndugu mwl
Pambana hadi kieleweke, hao maafisa wamezidi sana kuwaonea walimuNzuri sana mkuu,tuko tunaonja joto la Maiko Kachoma
Hii ilikuwa enzi za mwalimu,Sasa ni Haki bin Haki,ndo maana tumempa notisi ya siku tisini,akijifanya mjuaji lazima Ile kwake,nimepata taarifa Leo kapigiwa simu Mara nyingi sana,na analalamika kuwa eti sisi walimu tunamchafua Kwa jamii yake kwani analengo la kwenda kugombea ubunge huko kwao,Sasa tunampungizia maksi,Pambana hadi kieleweke, hao maafisa wamezidi sana kuwaonea walimu
Was his wife's nyash necessarily to mention here..Duh ya maskini mkewe yuko busy na shughuli zake huko hajui kama mat**o yake natunatukanwa huku..msamehe mkuuHatari sana,usipokuwa makini unaweza jikuta umejichukulia sheria mkono,huyo Kachoma aache kucheza na mishahara ya watu,akachezee mat **k ya mkewe
Uko sahihi mkuu but inauma sana,jamaa anajiona Mungu mtu,naamini hata ubunge anaopanga kwenda kuupambania hataupata kabisa,tutadili naye ili wajumbe wamuengue mapema sanaWas his wife's nyash necessarily to mention here..Duh ya maskini mkewe yuko busy na shughuli zake huko hajui kama mat**o yake natunatukanwa huku..msamehe mkuu