Amri kuu ni Upendo
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 789
- 489
Dah!!Nipo nyamagana jiji la Mwanza msingi!!Niko Ilala DSM Mwalimu shule ya sekondari. Kama wewe ni mwalimu wa sekondari na upo Wilaya ya Ilemela Mwanza unahitaji kuja DSM naomba uni pm mapema basi tufanye mchakato!
Njoo Tabora - Uyui;
Nije Katavi idara ya Msingi,
+255767-145922
+255786-145922
Singida hataki?Nenda babati yeye aje Tabora.Idara msingi na piga no 0712336687.
Pamoja mkuu,ukimpata wa msingi usisite kunipa taarifaUsijali mkuu, taratibu tutafika naamini utampata tu wa shule ya msingi.Na Mimi naendelea kumtafuta wa Ilemela, wa sekondari bado.
Tabora ndo anataka pekeeSingida hataki?