Habari zenu Wadau!
Niko Handeni - Tanga, idara ya Sekondari.
Shule iko barabara kuu ya kwenda Korogwe (Nauli ya kwenda Korogwe ni Tsh.2,500/= (na muda wa kufika Korogwe ni nusu saa). Pia ukitaka kwenda Dar nauli ni Tsh.12,000/= kutoka Shule ilipo kwa muda masaa matano tu unawasili Ubungo..... Ziko gari za saa kumi na mbili asubuhi kwenda Dar, Saa mbili, Saa nne, saa sita na saa tisa.
NJia ni Lami tu hakuna vumbi ukitaka kufanya Shughuli zako za kiofisi.
Natafuta mtu wa kubadilishana naye aje Handeni mimi niende Wilaya ya Mbozi , Mkoa wa Songwe, Idara Sekondari na Masomo yangu ni English na Kiswahili.
Kwa anayemjua mwenye hitajio hili anifuate In box ...............