Mwalimu Damas Jackson natafuta MWL wa kubadilisha nae kituo .Aje Busega Simiyu mimi nije Babati, Tanga(wilaya yoyote) No:0768746977 elimu msingi

Pia Kama uko Karatu ,Alumeru , mkoa wa Kilimanjaro nitafute kwa namba hii :0768746977 Olivia uweze kuja Busega -Simiyu.
 
mimi ni mwalimu wa shule ya msingi ifumba iliyopo nzega-tabora. natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi kutoka wilaya ya masasi-mtwara. aliye tayari aniPM
 
Njoo Kakonko mwalimu nicheki kwa 0626890702
 
Njoo
Njoo Kakonko MWL tuanze mchakato ...nicheki kwa 0753533877 au 0626890702
 
Nj
Njoo kigoma MWL sikumbuka kaya vidala nine Handeni
 
Njoo Rorya aje Singida, Dodoma, Moro, Pwani, Iringa au Njombe. Idara Elimu sec. 0757036642
 
Karibu sana wilaya Lushoto Tanga nije

1. Korogwe
2. Hai Kilimajaro
3. Same
4. Mwanga
5. Moshi v
6. Rombo
7. Siha

Idara ya Msingi
Mawasiliano 0758121353

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Habari za jioni wakubwa mimi nina dada yangu anafundisha Andeni tanga. Na anataka mtu wakubadilishana nae kutoka mkuranga au vikindu.., ni mwalimu wa shule ya msingi kwa mawasiliano hayo hapo 0738891117/0784979520.
 
Wanyiha njooni kwenu mbozi nije rungwe,kyela au busokelo idara elimu sekondari.Cont.0762950789
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…