Kwa mwalimu aliyepo Tanga wilaya ya mkinga au Tanga mjini njoo tubadilishane uje halmashauri ya wilaya Arusha DC idara ya elimu msingi.
0717743549
 
GUYS NMEPROVE WATU WANAHAMA,ILA NI KIMYAKIMYA,WATU WA KUBADILISHANA WANASAINISHA BARUA BILA TATIZO KABISA!!

MWENYE KUHITAJI KOROGWE MJINI MIMI NIJE DAR AU ARUSHA IDARA SEKONDARI

0769 591585
 
Mimi ndugu yangu anataka kuhamia Arusha mjini idara ya secondary kwa Sasa yupo Arusha dc hapo ngaramtoni.tuwasiliane nikuungnisha nae
 
Mwenye link ya Utumishi Tafadhali naiomba Nataka niangalie majina ya wanaohama August hiii.
 
Nina mdogo wangu yupo
Bunda Mji --- shule Bunda B msingi....
anahitaji kusogea Morogoro mjini, Kibaha, Bagamoyo mjini, na Daresalam...
yoyote anahitaji kubadilishana anakaribishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…