MTZ 255Dar
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 1,149
- 3,963
Kwanza kabisa niwape pole kwa shughuli zenu za kila siku katika ujenzi wa taifa. Pia niwaombe Moderators wasiunganishd thread yangu wakaifanya kuwa reply ya thread nyingine,hii huniboa sana.
Moja kwa moja niende kwenye lengo la thread hii.Kumekuwa na ugumu mkubwa kwenye suala la watumishi hasa walimu wa sekondari kupata uhamisho kutoka TAMISEMI. Madai ya TAMISEMI ni kwamba Kuhama kwa Mtumishi kunasababisha uhaba sehemu anayotoka.
Kwa walimu wa S/Msingi ni rahisi kupata mwalimu wa kubadilishana naye kutokana na Masomo anayofundisha kutozingatiwa zaidi. Lakini kwa Mwalimu wa Sekondari,kama unafundisha Physics basi kuhama ni lazima umpate mtu wa Physics wa kubadilishana naye kutoka sehemu unayotaka kuhamia. Na hii imezidisha ugumu wa kuhama.
NATAFUTA MTU WA KUBADILISHANA NAYE KITUO CHA KAZI.
Mimi ni Mwalimu nimeajiliwa Mkoani Njombe Wilaya ya Ludewa,nafundisha masomo ya Physics na Chemistry. Nyumbani kwetu ni Kasulu Kigoma,hivyo basi natafuta Mwalimu wa kubadilishana naye kituo cha kazi yeye aje huku Njombe Ludewa mimi niende Kigoma Wilaya yoyote ile ilimradi niwe karibu na Nyumbani. Mtu huyo Sharti awe mwalimu wa Physics.
Napenda niwaombe mnitangazie tangazo hili kwa yeyote ambaye mnamfahamu anauhitaji wa kuhamia niliko. Tapeli yeyote asijidanganye kujifanya ananipigia. Wale watu wa kuja na gia ya kuniunganisha na mtu aliyeko TAMISEMI siwahitaji make nao ni Matapeli Mara Nyingi,nataka wa kubadilisha naye tu full stop.
Mawasiliano:
0622182501.
Moja kwa moja niende kwenye lengo la thread hii.Kumekuwa na ugumu mkubwa kwenye suala la watumishi hasa walimu wa sekondari kupata uhamisho kutoka TAMISEMI. Madai ya TAMISEMI ni kwamba Kuhama kwa Mtumishi kunasababisha uhaba sehemu anayotoka.
Kwa walimu wa S/Msingi ni rahisi kupata mwalimu wa kubadilishana naye kutokana na Masomo anayofundisha kutozingatiwa zaidi. Lakini kwa Mwalimu wa Sekondari,kama unafundisha Physics basi kuhama ni lazima umpate mtu wa Physics wa kubadilishana naye kutoka sehemu unayotaka kuhamia. Na hii imezidisha ugumu wa kuhama.
NATAFUTA MTU WA KUBADILISHANA NAYE KITUO CHA KAZI.
Mimi ni Mwalimu nimeajiliwa Mkoani Njombe Wilaya ya Ludewa,nafundisha masomo ya Physics na Chemistry. Nyumbani kwetu ni Kasulu Kigoma,hivyo basi natafuta Mwalimu wa kubadilishana naye kituo cha kazi yeye aje huku Njombe Ludewa mimi niende Kigoma Wilaya yoyote ile ilimradi niwe karibu na Nyumbani. Mtu huyo Sharti awe mwalimu wa Physics.
Napenda niwaombe mnitangazie tangazo hili kwa yeyote ambaye mnamfahamu anauhitaji wa kuhamia niliko. Tapeli yeyote asijidanganye kujifanya ananipigia. Wale watu wa kuja na gia ya kuniunganisha na mtu aliyeko TAMISEMI siwahitaji make nao ni Matapeli Mara Nyingi,nataka wa kubadilisha naye tu full stop.
Mawasiliano:
0622182501.