Daah, Lushoto ndiyo nyumbani.Njoo Lushoto
Wilaya gani mkuuArusha vipi?
Idara gani?Kwa yeyote anayehitaji kuhamia halmashauri ya mji Mbinga mkoa wa Ruvuma nije mkoa wowote Tanzania lakini kipaumbele kwa wanaotokea halmashauri za manispaa au miji kwasababu shule ninayofundisha ipo hapa Mbinga mjini.Nichek 0620234297 au 0766848929.
Wasukuma rudini kwenu bhanaaNjoo Simiyu, itilima.
Shule ipo karibu kabisa na Bariadi mjini.
Kwenda Mwanza nauli elfu5 tu.
Mimi nije Morogoro, Pwani au Dar
Ni pm tafadhali
Halafu Bariadi sshvi ni mji mkubwa.Njoo Simiyu, itilima.
Shule ipo karibu kabisa na Bariadi mjini.
Kwenda Mwanza nauli elfu5 tu.
Mimi nije Morogoro, Pwani au Dar
Ni pm tafadhali
Waambie hao😂Halafu Bariadi sshvi ni mji mkubwa.
Nashangaa why mnapadiss kwenuu
Wakuje bhanaaa turudi kwetuWaambie hao[emoji23]
Au we ni mwl. Kondo nini?Halafu Bariadi sshvi ni mji mkubwa.
Nashangaa why mnapadiss kwenuu
Hapana mkuu.Au we ni mwl. Kondo nini?
Hahaha mi niko simiyu tayariHapana mkuu.
Simfahamu.
Njoo Simiyu basi mkuu