WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
F u, and your mom, and your sister and your broke as* just f*ck off

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hata wanafunzi wakikuuliza swali la kukera na kukebehi hua unawajibu hivyo..sasa hoja hua unajibu vipi au ndio kwa haya matusi..kweli unaabisha taaluma ya ualimu bora ungekua mcheza por.n tu...mana sio kwa haya matusi

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwahiyo hata wanafunzi wakikuuliza swali la kukera na kukebehi hua unawajibu hivyo..sasa hoja hua unajibu vipi au ndio kwa haya matusi..kweli unaabisha taaluma ya ualimu bora ungekua mcheza por.n tu...mana sio kwa haya matusi

#MaendeleoHayanaChama
Mwenye uzoefu uhamisho wa kubadilishana unachukua mudaaa ganiiii
 
Kwahiyo hata wanafunzi wakikuuliza swali la kukera na kukebehi hua unawajibu hivyo..sasa hoja hua unajibu vipi au ndio kwa haya matusi..kweli unaabisha taaluma ya ualimu bora ungekua mcheza por.n tu...mana sio kwa haya matusi

#MaendeleoHayanaChama
Mwenye uzoefu uhamisho wa kubadilishana unachukua mudaaa ganiiii
 
Mwalimu (Sekondari+Arts+Geog+) anaehitaji kuhama kwenda Tanga Jiji akitokea Shinyanga Manispaa AU Mwanza Jiji, AU ILEMELA au NYAMAGANA AU maeneo yanayopitiwa na barabara kuu ya Shinyanga-Mwanza-Musoma.
0652029270.
 
Njoo Geita_Bukombe nije
Mbozi,Tunduma naMomba
From Bukombe to kahama nauli Tsh3000 Bukombe to Geita nauli Tsh.5000=,Bukombe to Mwanza nauli 10,000/=,Bukombe to Kigoma Tsh 17,000/=, Bukombe to Kagera nauli 10,000/=Bukombe to Tabora mjini Tsh 15,000/=
Bukombe to Shinyanga Tsh 15,000/=
Idara:Elimu Msingi.0757090432
 
Njoo Bukombe_Geita nije Pwani (Bagamoyo,Kibaha,Mkuranga),Dodoma,Morogoro mjini.
Bukombe kijiografia ni jirani na maeneo yafuatayo, sambamba na nauli za kutoka Bukombe kwenda maeneo hayo;
*Chato nauli 4000
*Katoro nauli 3000
*Mwanza mjini nauli 10000
*Biharamulo nauli 4000
*Kakonko nauli 4000
*Kibondo nauli 7000
*Shinyanga mjini nauli 15000
*Tabora mjini nauli ya kwenda 15000
Rudini kwenu,Kumenoga
 
Njoo KILIMANJARO...NIJE SIMIYU POPOTE...(0764013211)...
ROmbo-moshi=4000
Rimbo-arusha=5000
Wilayani=1000
Rombo-kenya=1000..
..shule iko Barbara hata bodaboda Haistaili....
 
Back
Top Bottom