WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
naomben kujua procedures za kuhamisha mtoto kutoka shule ya kata Morogoro kwenda kata DSM
Nenda shuleni chukua namba ya mtoto aliyopewa wanaita prim number bila shaka utapeleka huko unakotaka kumwamishia wanafanya uhamisho kwa nija ya online
 
Kwa wale wanaotaka kuja Msanzi Kalambo, ni barabarani kuna kilimo na ufugaji wananchi wako vizuri watumishi wametoka kimaisha hapa na wamejenga asilimia 89% Mimi nije Sumbawanga manispaa hata kama upo shule za pembezoni nitafute kwa no. 0627472757
 
Mimi ni mwalimu wa shule ya msingi Chikolopola nahitaji wa kubadilishana nae nahitaji kwenda Bariadi.Nina vigezo vyote za utumishi wa umma
 
Natafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi..mimi niko Halmashauri ya MAFIA nataka kwenda KIBAHA DC. Idara Elimu msingi.. aliyekua tayari aje inbox
Pia anaetaka kuja kuja Mafia mimi niende popote.
 
Njoo Bukombe Geita,Elimu sekondari,nije Pwani (Bagamoyo,Kongowe,Mkuranga,Kibaha,Mlandizi),Dar es salaam,Dodoma Manispaa.
Bukombe ni jirani kabisa na Biharamulo,Kakonko,Kasulu,Katoro,Chato,Geita Mjini,Mwanza,Kahama,Shinyanga,Tabora
Waha,Wasukuma,Wahaya,Wakurya na makabila ya kanda ya ziwa,njoo uwe jirani na nyumbani kwenu.
From Bukombe to Musoma nauli ni Tsh. 18,000/=
Maeneo mengne tajwa hapo juu nauli zake ni kuanzia Tsh. 3000/= mpk Tsh. 15000/=
Rudi kwenu kumenoga.
Maelekezo zaidi njoo PM
 
Haya mwalimu Yuko njombe wanginngombe mwalimu wa hesabu na physic anahitaji kuama kituo chochote kiwe manyara au Arusha au kondoa siyo mbaya kwake msadieni jmn Kama unatka detail Zaid bas nipm nikupe mawasiliano yake
 
Mwalimu wangu huyu Ni idara ya sekondari ...
Na yeye pia atakuchangia na posho anachotaka Ni kuama tu maeneo Yale[emoji16][emoji16]ya wakinga na wabena
 
Back
Top Bottom