WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Jamani njoo singida DC aje..

wilaya yoyote Dar

Bagamoyo

Kisarawe

Mkuranga

Njoo PM please

Idara - secondary
Masomo -English language &literature
 
Natafuta wa kubadilishana nae kituo cha kazi..mimi niko Halmashauri ya MAFIA nataka kwenda KIBAHA DC. Idara Elimu msingi.. aliyekua tayari aje inbox
Pia anaetaka kuja kuja Mafia mimi niende popote.
Nipo ulanga shule ipo karibu na ifakar naul 3000 idar sekondar 0685880070
 
Anatafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi

Yeye yupo MOROGORO - MLIMBA

anataka kwenda KIBAHA,KISARAWE,MKURANGA,DAR.....

Idara ya msingi.
Namba yake ni 0623 66 80 69
Ukiwa interested mtafute humo kwa call,sms au whatsapp.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom