Rukwa vip utaendaaNjoo Hai Kilimanjaro nije njombe mji Idara ya msingi
Njoo njombeNipo Tanga Jiji (Mwalimu IIIA) anayetaka tubadilishane niende wilaya ya Hai.
Njoo pangani Tanga nije bagamoyo, 0772852380, idara msingi/sekondari
Mwalimu (Sekondari+Arts+Geog+) anaehitaji kuhama kwenda Tanga Jiji akitokea Shinyanga Manispaa AU Mwanza Jiji, AU ILEMELA au NYAMAGANA AU maeneo yanayopitiwa na barabara kuu ya Shinyanga-Mwanza-Musoma.
0652029270.
TANGAZO TANGAZONjooni Handeni Tc
Waje Kibaha, Chamazi, Mbande, Kibada ,Charambe na Nzasa
Idara - Sekondari
Njoo njombeIdara gani
TANGAZO TANGAZOKuna mtu kapangiwa kata ya Kivukoni jijini Dar es salaam, yeye hataki anataka kwenda kijijini hasa mikoa ya Iringa kama upo interested like hii post.