Njoo Kalambo Dc mkoa wa Rukwa Mimi nije aidha mkoa wa Mwanza au Mara wilaya/halmashauri yoyote. Idara ya Sekondari masomo ya sana/biashara
 
Anahitajika mwl wa kwenda tunduma mjini mkoa wa songwe ni border ya tanzania na zambia idara sekondari awe anatoka wilaya za mwanza kassoro ukerewe iwe ni magu buchosa misungwi sengerema na kwimba
Vipi waweza kuja Bariadi ni jirani na Magu. Nauli kwenda mwaza ni 5000
 
Watu sijui uwapende vipi hata... jamani nipo siriazi na ninaandika hii kwa mara ya mwisho ukichezea bahati hii utakuja kunitafuta na usiipate tena

ANAETAKA KUJA RUANGWA MIMI NIPO TAYARI KWENDA POPOTE PALE (MSINGI) ILIMRADI TU ISIWE MIKOA YA MTWARA LINDI NA RUVUMA... JAPO IKIWA KASKAZINI MWA RELI YA KATI NITAFURAHI ZAIDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…