WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi
Kuna watu wanaumwa kaswende, eti njoo kakonko nije Dar Es Salaam wilaya ya ilala tambaza sekondari [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Jaman Njooni Kasulu mjini,. WAHA Rudini nyumban kumenoga. Mje kula MAHOLE, ZEBANGIZA NA MIGEBUKA. mm Nataka kihama Kwa sababu ya kifamilia. Ila uku vyakula Bei poa sana.
Wew naye matangazo yako yamrkuwa mengi mpaka imekuwa kero. Kama hamna watu wa kuhamia si uach kazi? Unatusumnuz na comment zako kibao wakati unachosema kilisheleweka. Unakera
 
Natafuta mchumba awe mke baadae awe mwalimu miaka 24+ awe secondary,uwe mrembo mwenye msimamo na mchapakazi,sichagui kabila mm nipo Dar, mfanyakazi wa SERIKALI .taasisi ....... please tujuane pm
 
Back
Top Bottom